Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

usichofahamu ni kuwa hao hao mastaa ndio wanaotaka sisi tuwafatilie.. mbona hatuwafatifati wakina hemedyphd? diamond nafamilia yake wanataka wenyewe kufatiliwa
 
Apambsne na hali yake? Au Hamisa ndo apambane na hali yake? Mwenzake maarufu na anahela za kutosha, hamisa asubur kupewa laki 5 yake kwa wiki na sijui kama atapewa tena mana alipewa kutunza siri akashindwa.

Anyways i think ni wewe upambane na hali yako tu, mwenzako anakula bata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…