Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi juhudi za kuvutia watu huku uziamishie na chumbani sasa??
Sarakasi na sambasoti sijawahi kuziona[emoji3][emoji3][emoji3] kwani zile za chumbani hazitoshi?
Ni mwandani wako?Bila uwepo wa ndege JOHN nahisi harufu ya rushwa.
Kwa huyu britanicca ni kweli hakika, Mada zake za utani utani lakin kuna mantiki kubwa,
Natamani anioe
Ni ID yangu. Kwahiyo ni mimi mwenyewe.Ni mwandani wako?
Naona unafanya juhudi za kunipunguzia foleni, wengine matomasoSarakasi na sambasoti sijawahi kuziona
kazingua sana
Asante kwa kunitambuaPaschal Mayalla, Return of undertaker, mwanahabari huru, Britanical, Zankumi, Jitegemee, etc wako good sana.
HahaAshaoa nimebaki mimi mdogo wake
KabisaAma kweli vunja ukimya
Usijae kichwa sasa mkuu, uendelee kutupa habari na elimu humu ndanAsante kwa kunitambua
HakikaUsijae kichwa sasa mkuu, uendelee kutupa habari na elimu humu ndan