Hiki ndicho kilichosababisha Sugu kung'aka, "Mimi sio mbunge wa wasanii''

Hiki ndicho kilichosababisha Sugu kung'aka, "Mimi sio mbunge wa wasanii''

Yeye ndiye aache ufala...miaka yote mitano amewekeza kwenye kufitini na kufarakanisha kuliko kuunganisha na kujenga, hata ushauri tu umemshinda.

Yeye ni waziri kivuli wizara ya habari ya vijana na utamaduni (sanaa), hajafanya chochote na wala hajui afanye nini.

Kwa hiyo anataka wasanii wasupport chama chake ndio awafanyie chochote ? basi achague wale wanaosupport chadema awasaidie.

Hiyo studio ndio imekuwa kichaka cha kujificha kila akihojiwa, ameshindwa vipi kukishawishi chama chake waache kuchezea hizo chopper kwa muda ili ajenge hiyo studio mbadala ?

To cut long story short jamaa sio kiongozi ni mpiga kelele tu...kuna mengi ungejifunza kwa Msigwa ndugu.

Ni maneno ya kiwango cha chini zaidi cha kufikiri kutoka kwa anayejiita kiongozi.

Sugu ndiye kiungo muhimu wa watu wa mbeya, hujui kuwa hata kundi dogo tu la wamachinga wakirise, wazee kaya wanashindwa kutuliza vurugu mbeya mjini!!? Mpaka aje Mh. Sugu mteule wa watu wa mbeya mjini!!
 
Sugu amenifurahisha saaana...
Mfano sasahivi kuna mtu anaitwa NIKKI WA PILI,anajidai ni MSOMI.

Huyu jamaa,eti anahimiza vijana wapitishe KATIBA YA CHENGE,kwa kuwa inawajali vijana hasa wasanii.....

Sasa najiuliza,hivi..ni HAKI GANI usiyoweza kuidai? Haki usiyoweza kuidai mahakamani si haki hiyo...


Baada ya miaka mitatu,utamuona msomi Nikki,akilia ooooh wasanii hatujaliwi,ooooh vijana tusaidiwe,ilimradi tu lawama...

Wakati wakina Sugu wakihoji usanii wa katiba kwa vijana especially wasanii!NIKKI WA PILI yeye anaungana na CCM kutaka ipite,then badaea mambo yakibuma anaanza kulia lia kuomba asaidiwe!! Pumbavu kabisa..

Sugu upo sawa.....piga kazi kwa WANA- MBEYA waliokuchagua,achana na MAPOYOYO a.k.a Misukule ya CCM.
 
Sugu moto chini... Juzi nimeenda Mbeya jamaa kaichange kinouuuuma...Heshima kwa huyu MP Wangu.
 
Kama ulipiga kelele kuhus kikweta na chama chake,leo uliza kuhus ahad ulipewa. Kuanza kumuuliz sugu kafanya nini,ni upuuz tu. Muulize aliyekupa donge nono before. Thatz y we say politics iz a dirty game,yu do external and internal activitiezzzz just to win a position. Poleni mliopewa hela za kahawa na vocha. Jioneni wajinga tuuuuuuui!!!!
 
Back
Top Bottom