Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Nikuomba Mungu tuu. Mungu awalinde Watoto wetu.
Mkuu unamaanishaMungu baba yetu aliyembinguni?
naomba nikukumbushe kisa cha huyu "dada" mwanariadha maarufu kutoka Afrika kusini kwa jina la Caster Semenya, kwenye kukimbia ailikuwa anawahenyesha wanawake wenzake kiasi cha shirikisho la riadha la kimataifa kutilia shaka kama kweli ni "mwanamke" maana uke anao, na matiti pia anayo vitu ambavyo kwa mazoea yetu tunaamini ndivyo utambulisho wa jinsia ya mwanamke! Wenzetu wakaenda mbele zaidi ya mazoea (ni kawaida tu kwao) wakapima vichocheo vya mwili (hormones) na kugundua kumbe mwili ni wa kike ila ana hormone nyingi za kiume. ( ndio maana nikakuuliza uliposema Mungu awalinde watoto wetu nimeshangaa kwakuwa Mungu huyo huyo kakosea yeye katika kuwaumba)

Sakata la Semenya lilifika hatua shirikisho kumtaka apewe zawa za kupunguza hormone za kiume na yeye akakataa na ukawa mwisho wake kushiriki riadha za kimataifa na wadada wenzake, nasikia sasa hivi kaamua kucheza mpiura wa miguu na wanawake(nitaomba kusahihishwa kama aliruhusiwa tena kukimbia)

Nimefanya kazi kama mkunga kwa miaka zaidi ya 15 kwenye wodi za wazazi bize sana, nimeshuhudia vilema vingi wanavyozaliwa navyo watoto....ila vipo vilema ambavyo havionekani kwa macho yetu, hormone za kike kupewa wakiume na za kiume kupewa wa kike ambavyo mimi Ndebile ninaamini ndicho chanzo kikubwa cha hawa watu wanaosemwa kwenye uzi huu...
Sitaki kusemea wale ambao wamejifunza ila najiuliza kama mzazi mwanangu wa kike anapocheza na kubeba mdoli wake kama mtoto, anapochezea makopo yake na kupika akiigiza umama iweje ageuke tena na kubana matiti yake ili kifua kiwe kama cha kaka yake !
Semenya.jpg
 
Umesha anzisha familia? Namaanisha mume na mke, halafu mmebahatika kupata watoto?
Maisha ya duniani yaacheni yapite, maumivu ayapatayo mzazi kwa mienendo mibovu ya watoto hayapimiki.
Muombe sana Muumba wako akunyoshee uzao wako.
Hakuna mzazi aliye fundi kwenye malezi ya watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo unataka kuniambia p funk anapitia maumivu makali
 
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
ilikuaje ikawa hivyo nasikia wengine huwa wanabakwa wakiwa wadogo
 
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Ulianzaje anzaje
 
Mkuu unamaanishaMungu baba yetu aliyembinguni?
naomba nikukumbushe kisa cha huyu "dada" mwanariadha maarufu kutoka Afrika kusini kwa jina la Caster Semenya, kwenye kukimbia ailikuwa anawahenyesha wanawake wenzake kiasi cha shirikisho la riadha la kimataifa kutilia shaka kama kweli ni "mwanamke" maana uke anao, na matiti pia anayo vitu ambavyo kwa mazoea yetu tunaamini ndivyo utambulisho wa jinsia ya mwanamke! Wenzetu wakaenda mbele zaidi ya mazoea (ni kawaida tu kwao) wakapima vichocheo vya mwili (hormones) na kugundua kumbe mwili ni wa kike ila ana hormone nyingi za kiume. ( ndio maana nikakuuliza uliposema Mungu awalinde watoto wetu nimeshangaa kwakuwa Mungu huyo huyo kakosea yeye katika kuwaumba)

Sakata la Semenya lilifika hatua shirikisho kumtaka apewe zawa za kupunguza hormone za kiume na yeye akakataa na ukawa mwisho wake kushiriki riadha za kimataifa na wadada wenzake, nasikia sasa hivi kaamua kucheza mpiura wa miguu na wanawake(nitaomba kusahihishwa kama aliruhusiwa tena kukimbia)

Nimefanya kazi kama mkunga kwa miaka zaidi ya 15 kwenye wodi za wazazi bize sana, nimeshuhudia vilema vingi wanavyozaliwa navyo watoto....ila vipo vilema ambavyo havionekani kwa macho yetu, hormone za kike kupewa wakiume na za kiume kupewa wa kike ambavyo mimi Ndebile ninaamini ndicho chanzo kikubwa cha hawa watu wanaosemwa kwenye uzi huu...
Sitaki kusemea wale ambao wamejifunza ila najiuliza kama mzazi mwanangu wa kike anapocheza na kubeba mdoli wake kama mtoto, anapochezea makopo yake na kupika akiigiza umama iweje ageuke tena na kubana matiti yake ili kifua kiwe kama cha kaka yake !
View attachment 1765502


Mkuu ukipanda mahindi utavuna mahindi.
 
Lakini si wanachuchuma wakati wa kujisaidia na wana bleed awo si ndio bac ni wakike tu kama wakike wengine.
 
Back
Top Bottom