Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Nlikua nawasikia tu
Siku mmoja alikuja kupangisha mtaani na ndugu yake.nkawa najua ni mkaka.siku nkakutana nae closer dukani nliduwaa
Kumbe ni binti anavaa skinny jeans anashusha mlegezo halafu juu vest manyonyo unayaona kabisa unajua huyu ni binti.anatembea mwendo mdundo wa kiume.halafu hacheki hovyo wala hataki mazoea na mtu.
Hatari
 
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Dah washakulawiti kweli mabaharia sio wat wazuri,, utakuwa ulikuwa unapenda vya bure na kujipeleka magheto y wahuni

Haingii akili eti tusem mtu alikutongoza , ulibakwa tu
 
Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881


sijui labda nakosea

Bora mabinti wakasagana 100million times

ila sio wanaume wakalalana...wanaume ni aibu, uharibifu na inaondoa ile tunu na sifa zote za kiume, matokeo mabaya kuliko hao mabinti


Na mabinti wanafika hapa, ukweli kitaa wanaume hamna!!!!! unakuta kitoto cha kiume haujui kama mwanaume???? ongea yake, anavyojiremba n.k

wanaume ndio bado chanzo cha mabinti kusagana
 
sijui labda nakosea

Bora mabinti wakasagana 100million times

ila sio wanaume wakalalana...wanaume ni aibu, uharibifu na inaondoa ile tunu na sifa zote za kiume, matokeo mabaya kuliko hao mabinti


Na mabinti wanafika hapa, ukweli kitaa wanaume hamna!!!!! unakuta kitoto cha kiume haujui kama mwanaume???? ongea yake, anavyojiremba n.k

wanaume ndio bado chanzo cha mabinti kusagana
Lakini nakubaliana na wewe ila Ww jua Kwamba huu ni uchafu na siyo tabia nzuri katika jamii. haina tofauti na ushoga .
 
Watu hao muda ndio huwa unazungumza....yaan kufka 28++hapo ndipo utajua wanajiendekeza au laah hakuna hormones...ni vitabia tu ...kwann mashoga wazee hawapo..au wasagaji wazee....h
kuna misconceptions mnazo nyingi sana and thats the reason watoto wenu wanakuwa spoiled under your watch yet mpo tu. imagine unafikiria watu wanaowapa good life some gays and celebrities ni vijana wanaohangaika na si well established daddiees. wake up!!
 
yet una bible na quran ambazo zimeviandika thousand of years nyuma and guy this is the reason watoto wenu hata walo straight watazidi kuharibikiwa cause mnapigana na kitu msichokijua
........Ukisoma katika kitabu cha Warumi 1:27 utapata kuelewa kuwa siku za mwisho wanawake watakuwa na matamanio ya wao kwa wao, na wanaume vilevile. haya yanatukia machoni petu.
........Pamoja na kwamba ushoga na usagaji havijaanza leo vilikuwepo tangu enzi za sodoma na gomora, kwa kipindi hiki cha kwetu umefikia kiwango cha kutisha mno.
.........Hadi serikali duniani hapa zinaukubali na kuuwekea sheria za kuutambua...
.........Mungu tunusuru. kuna siku mtu atakuja atamani bora asingelizaliwa.
 
........Ukisoma katika kitabu cha Warumi 1:27 utapata kuelewa kuwa siku za mwisho wanawake watakuwa na matamanio ya wao kwa wao, na wanaume vilevile. haya yanatukia machoni petu.
........Pamoja na kwamba ushoga na usagaji havijaanza leo vilikuwepo tangu enzi za sodoma na gomora, kwa kipindi hiki cha kwetu umefikia kiwango cha kutisha mno.
.........Hadi serikali duniani hapa zinaukubali na kuuwekea sheria za kuutambua...
.........Mungu tunusuru. kuna siku mtu atakuja atamani bora asingelizaliwa.
seems maisha yako ni slope sana ndio maana unashangaa mtu kujuta kuzaliwa
 
yet una bible na quran ambazo zimeviandika thousand of years nyuma and guy this is the reason watoto wenu hata walo straight watazidi kuharibikiwa cause mnapigana na kitu msichokijua
Haya Mambo ni yakuacha kuzungumzia...ukizungumIa unahalalisha Kia's flan
 
Kuna tom mmoja nilimkuta anampandishia sauti mvulana eti aache kumtongoza demu wake daaaah nilichoka aisee
 
Sio mtakatifu .....HIV unajua tabia ukiiendekeza unakaa ubongon nao unazalisha hormones ....but jtahd kujizuia jamaaa...kwa mazoez mazito na kadhalika...
Kwani Kuna sehemu umeona anajutia?mtu ambaye anajutia ndo wa kumshauri ila huyo inaonekana ameamua kuwa hivo
 
Hao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
Dj Fetty unamsingizia, yupo fresh na ana mtoto anajiweka kikike kabisa! Mumybaby unamsingizia hana mishe hizo! Mina Ally unamsingizia ni binti na nusu! Salama ni kweli

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom