Ni hakina nani?
Hawa wako nchi gani? Mungu apishe mbali isije ikawa ni Tanzania!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hakina nani?
Aisee!mlitorepublic
Kuna mtoto wa spika hapo
SawaHapana sio huyo kuna mdau
Kanikumbusha anaitwa Qullatex
Mambo Jimbi! Hulali tu?Sawa
Hata siwajui na mimi nauliza niwajue mkuu.Hawa wako nchi gani? Mungu apishe mbali isije ikawa ni Tanzania!!
Dooh pole sasa umeamka kumkimbiza ama hata nje hujatoka unaogopa?😀😀Mama nimeamshwa na mlio wa ajabu wa paka huko nje nikajua wanataka kuniloga sijui 🤓🤓🤓 nilikuwa kwenye usingizi deep sana ukapeperuka na nimelala around saa 6 kasoro hivi!
We unafanya nini macho mda huu mtoto wa kike? Ningekuwa around ningekusukumia mti nyama kwanza ili upate ule usingizi mzitoMambo Jimbi! Hulali tu?
Hahahahah kiusalama huwa tunachungulia dirishani kwanza 😝😝😝! Namuona paka wangu ila analia kiboya na kuna mwengine kama anataja jina langu kipaka paka ile nikaona hee!Dooh pole sasa umeamka kumkimbiza ama hata nje hujatoka unaogopa?😀😀
Hakika. Mungu ni jibu.Kuna usemi unasema "hakuna bingwa wa malezi". Mkuu, Mtoto akiamua kushindikana anashindikana tu hata kama mzazi amemlea vizuri kiasi gani. Wazazi tuna mtihani sana, Ni kuomba Mungu tu.
Poa poa mrembo, siku inaishaje hapo? Naogopa kulala mapema, kimbunga JOBO hakitabiriki aisee.Mambo Jimbi! Hulali tu?
Aah jimbi bado una wasiwasi na Jobo, wenzako tushamsahau sahivi hadi kwenye mijumba mibovu tunalala tu😀 (joke)Poa poa mrembo, siku inaishaje hapo? Naogopa kulala mapema, kimbunga JOBO hakitabiriki aisee.
Anakutaja jina?? Uwii ashindwe ktk jina la Yesu, ila usiogope sali lala au una mishe nyingine unataka kufanya why hadi alfajiri?, mi nililala ila naona usingizi umekata kabisa.Hahahahah kiusalama huwa tunachungulia dirishani kwanza 😝😝😝! Namuona paka wangu ila analia kiboya na kuna mwengine kama anataja jina langu kipaka paka ile nikaona hee!
Sasa simuoni naona wakaitania mbali huko ila mie silali tena hadi alfajiri ya saa 12
Mishe ni kuchati jf tu aisee! Sina jambo bora tungekuwa karibu labda kuna shughuli tungeweza fanya kwani usingizi umezingua 🤓Anakutaja jina?? Uwii ashindwe ktk jina la Yesu, ila usiogope sali lala au una mishe nyingine unataka kufanya why hadi alfajiri?, mi nililala ila naona usingizi umekata kabisa.
Huo mti nyama baki nao kwanza😪😪
You are a GAY bro..!!!!!sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
😀😀kajinga wewe jambo gani na mimi😏Mishe ni kuchati jf tu aisee! Sina jambo bora tungekuwa karibu labda kuna shughuli tungeweza fanya kwani usingizi umezingua 🤓
Jobo bado IPO mpendwa, hujasikia habari za mvua na mafuriko huko Kilimanjaro na Kanda ya Ziwa? TMA taarifa zao hazina uhakika, wanafanya kubahatisha tu.Aah jimbi bado una wasiwasi na Jobo, wenzako tushamsahau sahivi hadi kwenye mijumba mibovu tunalala tu😀 (joke)
Siku yangu imeisha vyema namshukuru Mungu, vipi upande wako? Happy Union day!
Tungemsema hata jirani tu muda uende mpenzi wangu😝😝😝😀😀kajinga wewe jambo gani na mimi😏