Nawe waambie waache kuingilia maamuzi ya Mungu ama maamuzi ya asili...KUPANGA NI KUCHAGUA ACHENI KUINGILIA MAAMUZI YA MTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe waambie waache kuingilia maamuzi ya Mungu ama maamuzi ya asili...KUPANGA NI KUCHAGUA ACHENI KUINGILIA MAAMUZI YA MTU
Polemost people hudhani its all bout malezi ila in reality it takes more than that.im a living proof by the way cause sipo the way i am cause of my upbringing ni vile nipo tofauti from the rest kwa identity
ahsantePole
... lilishasema ni gay! Hanithi kweli!
100%
mlitorepublicKuna yule mmoja famous sana insta ana dreads jina nimesahau anauza nguo,viatu,raba suruali jeans za kiume hasa sasa kufungua duka k/koo.
Lakini bora dem awe tom boy kuliko uzae dume afu liishie kuwa bwabwaKama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
Halafu tatizo la Hawa watu Ni wachafu na Njaa Kali full mizinga ya kununua pombe na show off za mitandaoniInanyong'onyeza na kusikitisha sana ukiona binti yako yuko hivi, unaweza kujilaani.
Mungu hayupo, na kama yupo mpaka kufikia hatua ya kuingiliwa maamuzi yake, basi ni mshenzi hatufai.Nawe waambie waache kuingilia maamuzi ya Mungu ama maamuzi ya asili...
HakikaBinti kuna nafuuu kidogo kuliko kuona kijana wako wa kiume analilia kuachwa na kijana mwenzake au kuolewa
Contacts?sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Ni kubaya! 😂Aisee mbona wamepinda hivo , hiki kizazi mmh
Duh! 😳Mungu hayupo, na kama yupo mpaka kufikia hatua ya kuingiliwa maamuzi yake, basi ni mshenzi hatufai.
Acha kutafta point za ku prove ushetan100%
Mungu hazuiii washenzi kufanya ushenzi wao, ndo maana hamzuii shetani kufanya ushetani.Mungu hayupo, na kama yupo mpaka kufikia hatua ya kuingiliwa maamuzi yake, basi ni mshenzi hatufai.
Umeanza uafande selwMungu hayupo, na kama yupo mpaka kufikia hatua ya kuingiliwa maamuzi yake, basi ni mshenzi hatufai.
Unataka kuunga mkono juhud?Contacts?
Ok mtakatifu oil chafuAcha kutafta point za ku prove ushetan
Immaculate - QullatexKuna yule mmoja famous sana insta ana dreads jina nimesahau anauza nguo,viatu,raba suruali jeans za kiume hasa sasa kufungua duka k/koo.