Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema yeye ni gay.... ikiwa na maana ya kwamba ni mwanaume anayejihusisha na mapenzi kinyume na maumbile......Nijibu Basi ndo maana nimeuliza
... lilishasema ni gay! Hanithi kweli!Mkuu we ni Ke au Me?
Binti kuna nafuuu kidogo kuliko kuona kijana wako wa kiume analilia kuachwa na kijana mwenzake au kuolewaInanyong'onyeza na kusikitisha sana ukiona binti yako yuko hivi, unaweza kujilaani.
Kwanini umeamua kua hivyo?sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Hajaamua, usome alichoandika kule juu!Kwanini umeamua kua hivyo?
Kuna scenerio wazazi hawahusiki kabisaaaaHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
Duh,hawa ni jike dume? Wanapiga vibinti vya watu hatarii. Nikiona dalali tu, napiga mtu ka mgambo. Staki machezo karibu na mm!Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
😂 😂 😂 Wewe mkuu hatari kwa usalama! 🤣duh yao kuwapa mimba tu
Ni vidada hivyo, vifua ni evidence mbona! 🤣Mbona kama ni wadada hao mkuu?
Kobokobo!!! 🤣 🤣 🤣Hiyo ni Team ya kusaga na kukoboa
Kawaida yao, manyonyo huwa wameyabana na waist band, ili yasiwe tisti. Inafikia wakati huwa yashazowea kulala hata akivaa T-shirt huwezi jua mume au mke. Kumbe kidemu! 🤣Nlikua nawasikia tu
Siku mmoja alikuja kupangisha mtaani na ndugu yake.nkawa najua ni mkaka.siku nkakutana nae closer dukani nliduwaa
Kumbe ni binti anavaa skinny jeans anashusha mlegezo halafu juu vest manyonyo unayaona kabisa unajua huyu ni binti.anatembea mwendo mdundo wa kiume.halafu hacheki hovyo wala hataki mazoea na mtu.
Aisee mbona wamepinda hivo , hiki kizazi mmhNi vidada hivyo, vifua ni evidence mbona! 🤣
Hivi wa kike anakuwaje gay na nyie mbona mnauliza maswalI ya kinanihiiMkuu we ni Ke au Me?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulitkaka awe anacheka cheka hovyoNlikua nawasikia tu
Siku mmoja alikuja kupangisha mtaani na ndugu yake.nkawa najua ni mkaka.siku nkakutana nae closer dukani nliduwaa
Kumbe ni binti anavaa skinny jeans anashusha mlegezo halafu juu vest manyonyo unayaona kabisa unajua huyu ni binti.anatembea mwendo mdundo wa kiume.halafu hacheki hovyo wala hataki mazoea na mtu.
Ni kweli.Kuna usemi unasema "hakuna bingwa wa malezi". Mkuu, Mtoto akiamua kushindikana anashindikana tu hata kama mzazi amemlea vizuri kiasi gani. Wazazi tuna mtihani sana, Ni kuomba Mungu tu.
Wengine huzaliwa wa kike lkn huwa na hormones nyingi za kiume.Nlikua nawasikia tu
Siku mmoja alikuja kupangisha mtaani na ndugu yake.nkawa najua ni mkaka.siku nkakutana nae closer dukani nliduwaa
Kumbe ni binti anavaa skinny jeans anashusha mlegezo halafu juu vest manyonyo unayaona kabisa unajua huyu ni binti.anatembea mwendo mdundo wa kiume.halafu hacheki hovyo wala hataki mazoea na mtu.