Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 771
Dah umeniwahi mkuuTemea mate chini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah umeniwahi mkuuTemea mate chini mkuu
Inanyong'onyeza na kusikitisha sana ukiona binti yako yuko hivi, unaweza kujilaani.
Pole sana mkuusometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Kuna usemi unasema "hakuna bingwa wa malezi". Mkuu, Mtoto akiamua kushindikana anashindikana tu hata kama mzazi amemlea vizuri kiasi gani. Wazazi tuna mtihani sana, Ni kuomba Mungu tu.
Dj fetty na yeye mkoboaji?Hao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
blessed faza maana wengi hawaelewi cause most of you guys huwa mnatuona kama tunajiendekeza ila battle yake ni ngumu kuliko kujizuia sex in six months ambayo wengi hamuwezi in a monthPole sana mkuu
We Ni me au ke?blessed faza maana wengi hawaelewi cause most of you guys huwa mnatuona kama tunajiendekeza ila battle yake ni ngumu kuliko kujizuia sex in six months ambayo wengi hamuwezi in a month
Mkuu we ni Ke au Me?sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Fatma karume Ni straight hana pigo hizoHao dizaini ya akina halima mdee, Fatima karume, salama but huwa wagumu tu ila sidhani kama wote wanakoboana ni style tu maisha waliyoamua
Binti yangu kuliko kusikia watu wanamparamia watatu watu mtaani kimasihara bora awe hivi tuKama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
Hapana, Fetty ana mtoto kabisa mkuuDj fetty na yeye mkoboaji?
non of themWe Ni me au ke?
embu nifungue boss wng maana ya str8,bisexual je na gay inahusika na wasagaj na mashoga au mashoga tuu??ni aina gn za mapenz yao??!Fatma karume Ni straight hana pigo hizo
mbona jibu lipo waziMkuu we ni Ke au Me?
Umenifanya nicheke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuuHii ni ile vyenye wanasemaga mtu mbili ndani ya track moja
Nijibu Basi ndo maana nimeulizambona jibu lipo wazi
So ur a lesbian?non of them
why do you want to put a specific label on me cause nimetamka where i stand orSo ur a lesbian?