Hiki ndicho wanachotuachia wazungu, na kile ndicho wanachowaachia watoto wao

Maskini ya mungu hujaelewa hata naamaniisha nini??

Just imagine ungerithishwa hivyo vyote tungekuwa wap sahivi
 
Muniwie radhi kama nitaingilia Imani za watu


View attachment 2036137

You gerrit???
If you don ...gerrit
Ndo maana mimi na watoto wangu hatuendi church inashangaza sana MUNGU yupo tayari ambariki jambazi kuliko mshinda kanisani.Hapa namanisha unashinda kanisani kuombea hela ya chakula ila jambazi anaenda kuitafuta kwa nguvu anapata wewe unakosa.
Mbaya zaidi hao wajanja waliotengeneza hayo ma dini huko ulaya na kutuletea hawana hata time nayo sisi huku tupo bize kuyakumbatia kwa feelings zote.WAZUNGU WAMEVUKA LEVEL YA UFIKILI HAWAISHI KWA HISIA WANAISHI KWA RESEARCH,PLAN, IMPLEMENTATION AND EVALUATION.Sisi rangi nyeusi ni wavivu tunataka tupate ahueni ya maisha kwa maombi ambayo ni sawa na mazingaombwe ndo maana wakaina Mwampo wanatupiga hela kwa mahisia yetu yaliyozaliwa na uvivu wetu.
 
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said "Let us pray." We closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.” ― Desmond Tutu.
 
Aiseee
 
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said "Let us pray." We closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.” ― Desmond Tutu.
True
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…