Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
jibu unalo moyoni mwakoo!! Overr
hapa hatuongelei wingi wa wanafunzi wanaoomba,after all Muccobs inachukua wanafunzi wachache na not less than 4.5 credit,IFM ni zoa zoa kuna msela wangu alikuwa na 2.0(E,E,F) yuko pale anapiga Ba of accountancy! Kuna jamaa zangu wamepiga HGL,HGK wako IFM wanapiga banking and finance,accountancy,je kuna ubora upi pale darasa lina watu 700,lect 1? Muccobs Baaf tuko 70,accounting maclecturer wamegawana topics,mfano a/c two kuna maclucturer 4,a/c three malecturer 5,a/c four malecturer 5, waulize ifm na mzumbe kama wanaijua a/c four? Waulize kama wanaijua saccos a/c?, a/c ya Ifm ya kijinga mwanafunzi anafanya mtihani wa kuchagua maswali yote, hvyo sana pale. DOGO perry usijifanye unajua kila kitu,wanafunzi wenyewe wa ifm a/c wanajua mziki wa Muccobs,waulize watakwambia kama ni wasema kweli..nenda NBAA Wakwambie, nenda BOA bank kila branch kama utakosa majembe ya muccobs,nenda TIB, nenda kokote, nenda bank za ushirika na saccos huko ndo wamelala,nenda kaka,nenda...nenda utakuja kunambia.
Huna akili weweee mimi nimefanya chaguzi zangu kwa jinsi nilivyopangaa
Kwa mujibu wa taarifa zlizotolewa afisa habari wa tcu,alisema kwamba zaidi ya 90% ya wanafunz wanao omba vyuo vikuu,huweka udsm kama their 1st choice..sasa chuo cha mchangani kama muccobs nao wanajisifu nini,ebu we mleta mada zunguka kwenye makampuni makubwa hapa bongo uone kama kuna boss wa hayo makampuni ambae ni graduate wa muccobs!shule nzuri kwa masomo ya biashara hapa bongo ni 1}udbs,2}mzumbe,3}ifm,4}TIA,5}CBE
Hiv unapozungumzia biashara x unaongelea financial sectorz ? Kama ndyo hvo IFM ndiyo chuo pekee bora..kwa sababu hata ktk uajiliwaji Wanafunzi wa IFM ndo mara nyng wanapewa kipaumbele .NIMTAZAMO TU
nimepata ardhi na ndo ilikuwa chaguo langu la kwanza
Kwa mujibu wa taarifa zlizotolewa afisa habari wa tcu,alisema kwamba zaidi ya 90% ya wanafunz wanao omba vyuo vikuu,huweka udsm kama their 1st choice..sasa chuo cha mchangani kama muccobs nao wanajisifu nini,ebu we mleta mada zunguka kwenye makampuni makubwa hapa bongo uone kama kuna boss wa hayo makampuni ambae ni graduate wa muccobs!shule nzuri kwa masomo ya biashara hapa bongo ni 1}udbs,2}mzumbe,3}ifm,4}TIA,5}CBE
wee jipe moyoo tuu.! Vipi wa udbs,mzumbe hujakutana nao badoo
mzumbe sio chuo tena
Binafsi katika machaguo ya vyuo vikuu nilichagua random ,kutokana na ukweli kwamba katika kozi za sanaa hakukuwa na chuo kilichoweka cuttof zaidi ya tano
hapa hatuongelei wingi wa wanafunzi wanaoomba,after all Muccobs inachukua wanafunzi wachache na not less than 4.5 credit,IFM ni zoa zoa kuna msela wangu alikuwa na 2.0(E,E,F) yuko pale anapiga Ba of accountancy! Kuna jamaa zangu wamepiga HGL,HGK wako IFM wanapiga banking and finance,accountancy,je kuna ubora upi pale darasa lina watu 700,lect 1? Muccobs Baaf tuko 70,accounting maclecturer wamegawana topics,mfano a/c two kuna maclucturer 4,a/c three malecturer 5,a/c four malecturer 5, waulize ifm na mzumbe kama wanaijua a/c four? Waulize kama wanaijua saccos a/c?, a/c ya Ifm ya kijinga mwanafunzi anafanya mtihani wa kuchagua maswali yote, hvyo sana pale. DOGO perry usijifanye unajua kila kitu,wanafunzi wenyewe wa ifm a/c wanajua mziki wa Muccobs,waulize watakwambia kama ni wasema kweli..nenda NBAA Wakwambie, nenda BOA bank kila branch kama utakosa majembe ya muccobs,nenda TIB, nenda kokote, nenda bank za ushirika na saccos huko ndo wamelala,nenda kaka,nenda...nenda utakuja kunambia.
halafu kuwajulisha tu, vyeti vya MUCCoBS haviandikwi MUCCoBS bali SUA..! Najua wenyewe mnajua penye SUA wengine wote wanafyata mkiaaa!
Hivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!mkuu unasoma sua au muccobs?moro na moshi wapi na wapi,kuna mtu aliniambia anasoma udsm kumbe yupo mwuce kulee .
ni kweli maana inaonekana ulikuwa na cut point nzuri nimeangalia post zako nyuma
jamani mimi napita tu lakini kabla sijaishilizia acha nitoe msisitizo....
Udsm **baba laao**
Hivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!
.hahahahahaha.gudHivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!