Hiki ndio chuo bora cha biashara Tanzania!

Hiki ndio chuo bora cha biashara Tanzania!

hapa hatuongelei wingi wa wanafunzi wanaoomba,after all Muccobs inachukua wanafunzi wachache na not less than 4.5 credit,IFM ni zoa zoa kuna msela wangu alikuwa na 2.0(E,E,F) yuko pale anapiga Ba of accountancy! Kuna jamaa zangu wamepiga HGL,HGK wako IFM wanapiga banking and finance,accountancy,je kuna ubora upi pale darasa lina watu 700,lect 1? Muccobs Baaf tuko 70,accounting maclecturer wamegawana topics,mfano a/c two kuna maclucturer 4,a/c three malecturer 5,a/c four malecturer 5, waulize ifm na mzumbe kama wanaijua a/c four? Waulize kama wanaijua saccos a/c?, a/c ya Ifm ya kijinga mwanafunzi anafanya mtihani wa kuchagua maswali yote, hvyo sana pale. DOGO perry usijifanye unajua kila kitu,wanafunzi wenyewe wa ifm a/c wanajua mziki wa Muccobs,waulize watakwambia kama ni wasema kweli..nenda NBAA Wakwambie, nenda BOA bank kila branch kama utakosa majembe ya muccobs,nenda TIB, nenda kokote, nenda bank za ushirika na saccos huko ndo wamelala,nenda kaka,nenda...nenda utakuja kunambia.

Hao washkaj zao walizolewa zolewa ngoja watakuja kukupa habari yao kuhusu ifm.
 
halafu kuwajulisha tu, vyeti vya MUCCoBS haviandikwi MUCCoBS bali SUA..! Najua wenyewe mnajua penye SUA wengine wote wanafyata mkiaaa!
 
Hiv unapozungumzia biashara x unaongelea financial sectorz ? Kama ndyo hvo IFM ndiyo chuo pekee bora..kwa sababu hata ktk uajiliwaji Wanafunzi wa IFM ndo mara nyng wanapewa kipaumbele .NIMTAZAMO TU
 
Huna akili weweee mimi nimefanya chaguzi zangu kwa jinsi nilivyopangaa

kwani ugomvi mpigachabo mbona kuhusu shule ulizosoma ulituambiaa o'level mzumbe, a'level tabora boys..! Sasa machaguo ya kwenda chuo ndo unashindwaa kutuambia jamaniii..! By the way ukweli uanao moyoni
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wa taarifa zlizotolewa afisa habari wa tcu,alisema kwamba zaidi ya 90% ya wanafunz wanao omba vyuo vikuu,huweka udsm kama their 1st choice..sasa chuo cha mchangani kama muccobs nao wanajisifu nini,ebu we mleta mada zunguka kwenye makampuni makubwa hapa bongo uone kama kuna boss wa hayo makampuni ambae ni graduate wa muccobs!shule nzuri kwa masomo ya biashara hapa bongo ni 1}udbs,2}mzumbe,3}ifm,4}TIA,5}CBE

ndio maana nasema unakurupukaaa,, ili kuwa boss(mkurugenzi),, kwanza tuanze na tafsiri ya neno mkurugenzi; ni kiongozi wa taasisi,shirika au kampuni ,, na kutokana na vigezo vya kumpandisha mtu madaraja aidha kwa usomi au utumishi wa muda mrefu ,mtu yoyote yule mwenye vigezo anaweza akateuliwa kuwa mkurugenzi bila ya kujali kasomea wapi hiii ni kutokana na taratibu za utumishi,, halafu nataka uje utaje wakurugenzi/maofisa 100 wa ngazi za ngazi za juu katika makampuni makubwa ambao unasema wamesomea kwenye hivyo vyuo vyako
 
Hiv unapozungumzia biashara x unaongelea financial sectorz ? Kama ndyo hvo IFM ndiyo chuo pekee bora..kwa sababu hata ktk uajiliwaji Wanafunzi wa IFM ndo mara nyng wanapewa kipaumbele .NIMTAZAMO TU

heri yako ww uliesema ni mtazamo tuu!
 
Kwa mujibu wa taarifa zlizotolewa afisa habari wa tcu,alisema kwamba zaidi ya 90% ya wanafunz wanao omba vyuo vikuu,huweka udsm kama their 1st choice..sasa chuo cha mchangani kama muccobs nao wanajisifu nini,ebu we mleta mada zunguka kwenye makampuni makubwa hapa bongo uone kama kuna boss wa hayo makampuni ambae ni graduate wa muccobs!shule nzuri kwa masomo ya biashara hapa bongo ni 1}udbs,2}mzumbe,3}ifm,4}TIA,5}CBE

ata kama si asilimia 90,weng wanajaza udsm,ila mi kwenye kundi hilo cpo,japo nilikuwa na sifa zaidi.kweli perry,ila si asilimia hiyo coz mfano udsm wanataka point kubwa sizan kama zaid ya 70percent wote wakawa na div 1 na 2 na baadh 3 za kuomba ud.mtazamo tu.
 
Binafsi katika machaguo ya vyuo vikuu nilichagua random ,kutokana na ukweli kwamba katika kozi za sanaa hakukuwa na chuo kilichoweka cuttof zaidi ya tano

ni kweli maana inaonekana ulikuwa na cut point nzuri nimeangalia post zako nyuma
 
hapa hatuongelei wingi wa wanafunzi wanaoomba,after all Muccobs inachukua wanafunzi wachache na not less than 4.5 credit,IFM ni zoa zoa kuna msela wangu alikuwa na 2.0(E,E,F) yuko pale anapiga Ba of accountancy! Kuna jamaa zangu wamepiga HGL,HGK wako IFM wanapiga banking and finance,accountancy,je kuna ubora upi pale darasa lina watu 700,lect 1? Muccobs Baaf tuko 70,accounting maclecturer wamegawana topics,mfano a/c two kuna maclucturer 4,a/c three malecturer 5,a/c four malecturer 5, waulize ifm na mzumbe kama wanaijua a/c four? Waulize kama wanaijua saccos a/c?, a/c ya Ifm ya kijinga mwanafunzi anafanya mtihani wa kuchagua maswali yote, hvyo sana pale. DOGO perry usijifanye unajua kila kitu,wanafunzi wenyewe wa ifm a/c wanajua mziki wa Muccobs,waulize watakwambia kama ni wasema kweli..nenda NBAA Wakwambie, nenda BOA bank kila branch kama utakosa majembe ya muccobs,nenda TIB, nenda kokote, nenda bank za ushirika na saccos huko ndo wamelala,nenda kaka,nenda...nenda utakuja kunambia.

nimekupata,ila ifm wanachukuliwa sana kwenyd mabenk,wizara ya fedha,ila mucobs mna units nyng kama saccos,agriculture economics,lakn kila chuo kilianzishwa kwa malengo,mfano mzumbe ni kutoa managers kwa gvt/institute of dvpt mgt.tatu account 1,2,3,4,5 ni majina tu,mzumbe kuna acount introductn na advance a/c ,cost,mgt,lakn hawaja group kama muccobs.
 
halafu kuwajulisha tu, vyeti vya MUCCoBS haviandikwi MUCCoBS bali SUA..! Najua wenyewe mnajua penye SUA wengine wote wanafyata mkiaaa!

mkuu unasoma sua au muccobs?moro na moshi wapi na wapi,kuna mtu aliniambia anasoma udsm kumbe yupo mwuce kulee .
 
mkuu unasoma sua au muccobs?moro na moshi wapi na wapi,kuna mtu aliniambia anasoma udsm kumbe yupo mwuce kulee .
Hivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!
 
Jamani mimi napita tu lakini kabla sijaishilizia acha nitoe msisitizo....

UDSM **BABA LAAO**
 
Hivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!

hahaha
 
Hivi umekielewa kweli nlichokiandika au ndo kiropo? Kwan wanaosoma Jordan Moro wanakuwa registered na nani? Si SAUT au? Sasa wanapograduate na vyeti vyao vikandikwa SAUT kwan na wao walisoma MWANZA? Maoni yako yanaonyesha we mtu wa kiwango gani!
.hahahahahaha.gud
 
Back
Top Bottom