Hiki ndio chuo bora cha biashara Tanzania!

Hiki ndio chuo bora cha biashara Tanzania!

Joined
Sep 10, 2013
Posts
76
Reaction score
21
Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya ushirika na biashara Moshi (MUCCoBS) ambacho ni tawi la SUA kimeendelea kuthibitisha kuwa ndio chuo bora zaid katika masomo ya biashara. Katika matokeo ya mitihani ya bodi ya uhasibu (CPA) wanafunz wote wa MUCCoBS waliofanya mitihani hiyo wamefanikiwa. Upande wa mitihani ya bodi ya ugavi (PSBTB) 80% ya waliopita wamemaliza MUCCoBS! Wewe una maoni gani? Kwangu mimi hichi ndio chuo bora cha biashara Tz
 
Baada ya kusikia matokeo ya bodi nkaona nipitie website ya chuo nchek! Aisee ebu chek matokeo yao, especially mwaka wa pili na wa tatu! Pale kuna elimu! Kip it up SUA na branchs zako zote!
 
Haya bana kwani biashara ni uhasibu na ugavi pekee yake ?.Vipi mchepuo wa masoko,International Business,HRM .....
 
Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya ushirika na biashara Moshi (MUCCoBS) ambacho ni tawi la SUA kimeendelea kuthibitisha kuwa ndio chuo bora zaid katika masomo ya biashara. Katika matokeo ya mitihani ya bodi ya uhasibu (CPA) wanafunz wote wa MUCCoBS waliofanya mitihani hiyo wamefanikiwa. Upande wa mitihani ya bodi ya ugavi (PSBTB) 80% ya waliopita wamemaliza MUCCoBS! Wewe una maoni gani? Kwangu mimi hichi ndio chuo bora cha biashara Tz

"Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya biashara na ushirika" ,mbona unaniaibisha mwana MUCCoBS mwenzangu! , kinaitwa "constituent college of sokoine university of agriculture " yaani chuokikuu kishiriki cha sokoine(SUA) , unaposema chuo kikuu kishiriki cha cha biashara na ushirika maana yake ni kwamba kuna chuo kingine nacho niMUCCoBS
 
"Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya biashara na ushirika" ,mbona unaniaibisha mwana MUCCoBS mwenzangu! , kinaitwa "constituent college of sokoine university of agriculture " yaani chuokikuu kishiriki cha sokoine(SUA) , unaposema chuo kikuu kishiriki cha cha biashara na ushirika maana yake ni kwamba kuna chuo kingine nacho niMUCCoBS[/QUOTE]
Sikuweka post kwa ajili ya kufahamisha jina kaka! Thanks kwa masahihisho hata hivyo!
 
mnaongoza mara moja kwa miaka 5 mnaletaa mbwembwe hapa.!
@vyuo bora vya biashara ni;
1. IFM
2.TIA
3.MUCCoBS- ambacho mnakisifaa sifiaa wakati hakina tofauti na vingine
4.UDSM
5.IAA
6.CBE..!
onyO ; sitaki malumbano
 
Last edited by a moderator:
Weka idadi ya wanafunzi wa kutoka MUCCOBS waliofanya mtihani NBAA na idadi ya wanafunzi wote waliofanya mtihani huo. Hii itasaidia kufanya ulinganishi wa kiuwiano.

Ukishindwa kufanya kama nilivyo kuelekeza, utatuthibitishia wasomaji kuwa MUCCOBS ni chuo cha vilaza, maana mwaka wangu wa masomo tulipojiunga na mwaka wa kwanza, mnamo mwaka 2007, asilimia kubwa ya waliojiunga na MUCCOBS ni wale waliochemka kupata UDSM na MZUMBE kwenye masomo ya biashara.
 
Weka idadi ya wanafunzi wa kutoka MUCCOBS waliofanya mtihani NBAA na idadi ya wanafunzi wote waliofanya mtihani huo. Hii itasaidia kufanya ulinganishi wa kiuwiano.

Ukishindwa kufanya kama nilivyo kuelekeza, utatuthibitishia wasomaji kuwa MUCCOBS ni chuo cha vilaza, maana mwaka wangu wa masomo tulipojiunga na mwaka wa kwanza, mnamo mwaka 2007, asilimia kubwa ya waliojiunga na MUCCOBS ni wale waliochemka kupata UDSM na MZUMBE kwenye masomo ya biashara.

Tuwekee wewe takwimu(idadi) ya hao wanafunzi wa MUCCoBS ,ambao unasema mwaka wenu 2007 walikosa nafasi UDSM&MZUMBE ukishindwa kufanya hivyo wewe utakuwa ni muongo,mmbea na mzandiki
 
Tuwekee wewe takwimu(idadi) ya hao wanafunzi wa MUCCoBS ,ambao unasema mwaka wenu 2007 walikosa nafasi UDSM&MZUMBE ukishindwa kufanya hivyo wewe utakuwa ni muongo,mmbea na mzandiki

hilo swali hata ww unaweza kujiulizaa;
hivi mwaka wenu 2012/2013 chaguo lako la kwanza kwenye zile choice nane mlizopewa na tcu ilikuwa kutoka chuo kipi..! Unapotaka kujibu zingatia ufaulu wako..., by the way jibu unalo mwenyeweee..!
 
Weka idadi ya wanafunzi wa kutoka MUCCOBS waliofanya mtihani NBAA na idadi ya wanafunzi wote waliofanya mtihani huo. Hii itasaidia kufanya ulinganishi wa kiuwiano.

Ukishindwa kufanya kama nilivyo kuelekeza, utatuthibitishia wasomaji kuwa MUCCOBS ni chuo cha vilaza, maana mwaka wangu wa masomo tulipojiunga na mwaka wa kwanza, mnamo mwaka 2007, asilimia kubwa ya waliojiunga na MUCCOBS ni wale waliochemka kupata UDSM na MZUMBE kwenye masomo ya biashara.

hahahaha kweli mkuu,kwa mwaka hu walioweka muccobs chaguo la kwanza wachache yan hawazd 50.muccobs naikubal ila mi nimechaguliwa mzumbe nilichagua hivi.chaguo la 1.mzumbe baf 2.udsm bcom 3.muccobs baaf 4.ifm 5.ruco bafit.walioomba udsm na mzumbe na ardhi kama chaguo la kwanza ni zaid ya elfu mojaa,tena waliongoza mzumbe kwa wingi,ifm,mucobs,rucco,walioweka chaguo la kwanza si weng kabsa.
 
hilo swali hata ww unaweza kujiulizaa;
hivi mwaka wenu 2012/2013 chaguo lako la kwanza kwenye zile choice nane mlizopewa na tcu ilikuwa kutoka chuo kipi..! Unapotaka kujibu zingatia ufaulu wako..., by the way jibu unalo mwenyeweee..!

hahahahaha,hapo lazma kama ni sheria alianza na udsm,kama biashara inawezkana alianza na udbs,mzumbe ardhi,ifm.kama ufaulu ulikuwa unalidhisha zaid
 
hahahaha kweli mkuu,kwa mwaka hu walioweka muccobs chaguo la kwanza wachache yan hawazd 30.muccobs naikubal ila mi nimechaguliwa mzumbe nilichagua hivi.chaguo la 1.mzumbe baf 2.udsm bcom 3.muccobs baaf 4.ifm 5.ruco bafit.walioomba udsm na mzumbe na ardhi kama chaguo la kwanza ni zaid ya elfu mojaa,tena waliongoza mzumbe kwa wingi,ifm,mucobs,rucco,walioweka chaguo la kwanza si weng kabsa.

wel said me ilikuwa
1.ardh
2.sua
3.udsm
4.udom
5.ifm over
 
Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya ushirika na biashara Moshi (MUCCoBS) ambacho ni tawi la SUA kimeendelea kuthibitisha kuwa ndio chuo bora zaid katika masomo ya biashara. Katika matokeo ya mitihani ya bodi ya uhasibu (CPA) wanafunz wote wa MUCCoBS waliofanya mitihani hiyo wamefanikiwa. Upande wa mitihani ya bodi ya ugavi (PSBTB) 80% ya waliopita wamemaliza MUCCoBS! Wewe una maoni gani? Kwangu mimi hichi ndio chuo bora cha biashara Tz


Kilikua kinashindana na vyuo gani?
 
wel said me ilikuwa
1.ardh
2.sua
3.udsm
4.udom
5.ifm over

kama ulifaul vzur nazan upo ardhi,ardh pako poa ila mi sipend dar nabadlisha mazngira,kuna jamaa yangu,kasoma lugalo primary,o level makongo pale pale,advance makongo,chuo anakatiza kidogo juu pale ardhi yaan haend mbali maana anakaa lugalo.
 
mnaongoza mara moja kwa miaka 5 mnaletaa mbwembwe hapa.!
@vyuo bora vya biashara ni;
1. IFM
2.TIA
3.MUCCoBS- ambacho mnakisifaa sifiaa wakati hakina tofauti na vingine
4.UDSM
5.IAA
6.CBE..!
onyO ; sitaki malumbano

Mkuu ningekupa like hapo kwa kukifagilia chuo changu. Teh teh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom