Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarura na Tanroads wanapita hapo lakini hawakioni. Wawe wanatembea na matechnician kwenye hizo stl na stk kwa ajili ya kurekebisha haya. Bila kusahau chepeo kwa ajili ya kuondoa vifusi vidogovidogo vilivyopo barabaraniGreat Thinkers
Hii ndiyo bongo aka nchi ya watu wasielewa wanataka nini.
Mimi naamini uwekaji wa mbao za anwani ya makazi ulikuwa ni ufisadi uliopitiliza.
Acha akina isack.mwigulu waje wachukue usukani wa baba zao.
Imagine hiki hapa ndiyo kibao kuonyesha nyerere road pale mfugale afu kuna watendaji wa serikali wanasema wanaupiga mwingi..
Hatujawahi kuwa serious hata kidogo.
View attachment 2849278
Aa ha ha hahapa Kkoo, Makutano ya UHURU na MSIMBAZI, kuna vibao viwili kwa pamoja. Kimoja kimeandikwa MSIMBAZI AVENUE na Kingine MSIMBAZI ST na vyote vinaangazia uelekeo tofauti
Hapa mkuu wa mkoa yupo na huenda kishaona hii lakini yuko kimya anacheka tuGreat Thinkers
Hii ndiyo bongo aka nchi ya watu wasielewa wanataka nini.
Mimi naamini uwekaji wa mbao za anwani ya makazi ulikuwa ni ufisadi uliopitiliza.
Acha akina isack.mwigulu waje wachukue usukani wa baba zao.
Imagine hiki hapa ndiyo kibao kuonyesha nyerere road pale mfugale afu kuna watendaji wa serikali wanasema wanaupiga mwingi..
Hatujawahi kuwa serious hata kidogo.
View attachment 2849278