Hiki ndo kiasi cha pesa anaingiza Hormonize Youtube kwa mwezi

Hiki ndo kiasi cha pesa anaingiza Hormonize Youtube kwa mwezi

Mtu analipwa kutokana na mtumiaji wa hiyo yutubu kubonyeza tangazo fulani au kwa huyo mtumiaji kuangalia hilo tangazo kwa sekunde 30

Swali je mara ngapi twaangalia yale matangazo?
Je mara ngapi twayabonyeza?
Mtu anaweza akawa na views 10mil ila hajawahi lipwa sababu hakuna aliekua interested na tangazo kabla ya video yake
Hivi sasa najiuliza, wao wasanii wenyewe akiunda Timu yake akawapatia bundles za kutosha kila siku ana view matangazo Kwny video zake walau hizo sekunde 30, si kuna uwezekano mkubwa wa kupiga sana hela? ?
 
They pay for content. Sababu hiyo content ndo wanatumia kwa matangazo yao. Kwa hiyo number of views zilikiwa milioni ina maana matangazo yao yamekuwa viewed mara kadhaa. Matangazo huwa yanatokea mwanzoni mara nyinngi kama ni wimbo mfupi. Kama na video ndefu huwa yanaweza tokea mara kibao wakati wa kucheza content. Mfano ni content za Millard Ayo. Huwa zinakuwa ndefu..More than 10 minutes. Sasa kwenye case ya views 1m, in best Case scenario inaweza ikawa ni mara milioni tangazo limeonyeshwa inategemea na jinsi gani lipo relevant kwa audience.. Sasa imagine advertiser analipa 0.01 dola per view na hii kwa content tu ya kawaida. Inategemeana na jina la msanii inaweza kuwa more than hapo. Ina maana wanaweza wakaingiza dola 10,000 kwa views milioni moja. Hapo mtengenezaji wa content analipwa pasu yake. Kwa hiyo hesabu ya dola 3500 inawezekana kabisa..Lakini sidhani kama ni kila mwezi inawezekana ni kwa ngoma mpya tu kwa hiyo zitatrend kwa muda fulani kabla ya views ku stabilize. Maana Harmonize hana ngoma nyingi sana. Ila kama tuseme atleast watu elfu kumi wakiangalia ngoma zake daily kwa mwezi wanaweza anagalia watu 300000. Na matangazo ya Tanzania niliyoyaona so far ni la TIgo, Voda, na Total. Kwa hiyo it is very possible kwamba hizi kampuni zinalipa milions of money kwa Google. Kama that is the case basi wasanii wanaotazamwa sana ni hao wa WCB. Na ndo wanaongoza kwa content zinazovutia viewers wengi. Mtu mwingine anayeweza akawa anapata mshiko mrefu ni millard ayo naye ana content nyingi sana ambayo inavutia local viewers
AYoooo[emoji109] [emoji109] [emoji109] Nakuonaaa.
 
Hizo ni Fix tupu. Ni kamba za kawaida za wasanii wa bongo, ni uongo mtupu.

Kama kweli, basi aje atuoneshe Risiti za malipo ya TRA, maana katika malipo ya dola3500 basi TRA watatakiwa kulamba wastani wa 20% ambayo ni kama dola 700 ambayo kwa pesa za Tanzania ni kama 1.5Milioni kila mwezi.

Halafu ukishaona tu msanii anatoa wimbo halafu badala ya kuanza kupiga show zake Dar , Arusha au Mwanza yeye anakimbilia huko porini porini kama Mtwara nk ujue ngoma imebuma hiyo, hali ni tete, ni mwendo wa kuunga unga.
Ile ni tour inaanzia mkoani mtwara......happy birthday ni ngoma inayokimbiza sana kitaa.....chuki zako ebu zi r.I.p kidogo
 
Hivi u.tube kweli hua wanalipa?? Dunia ina wasanii wangapi wanaolipwa na you tube...

Mfano wiz khalifa sound track ya see u again..ilikuwa na viewers 1.2 billion..je ilimuingizia kipato cha sh ngapi??

Mfano millado Ayo na segment yake ya subscribe..anapata sh ngapi kwa mwezi

Mimi naona kuna uongo mwingi kwenye hii issue ya you tube kulipa watu
teh
 
Mzee nilikwepa umande hio dola3500 ndo shingapi vjana
 
Lile shindano la bongo star search bora life kabisa maana limekatisha ndoto nzuri za vijana ambao walikuwa wana uwezo ila hawakuwa wana jiamini, majaji wana majibu ya shombo, majibu ya nyodo na dharau wakati hao wanao wakubali na kupata ushindi wanaishia hapohapo kwenye shindano, huyu jamaa alivyoambiwa ma master Jay HAJUI kuimba atafute kazi nyingine kama angeamini hivyo leo asinge kuwa hapa alipo.. hongera Hamo kwa kuamini kipaji chako.
 
Hivi u.tube kweli hua wanalipa?? Dunia ina wasanii wangapi wanaolipwa na you tube...

Mfano wiz khalifa sound track ya see u again..ilikuwa na viewers 1.2 billion..je ilimuingizia kipato cha sh ngapi??

Mfano millado Ayo na segment yake ya subscribe..anapata sh ngapi kwa mwezi

Mimi naona kuna uongo mwingi kwenye hii issue ya you tube kulipa watu
Aisee youtube wanalipa ktk mfumo ambao kwa kiswahili tunaita Mrahaba... Hata wewe ukifungua account a ukapost content yyt ambayo itakamata attention ya viewers utalipwa tu. Wanacholipa youtube ni sehemu tu ktk pesa ambayo wao youtube wanalipwa na makampuni yanayotangaza kupitia youtube. Kwa hy swala la kulipa hilo halina utata, ni swala la wewe kujua jinsi ya kukamata viewers. Huyo Wiz Kharifa atalipwa anachostahili na Harmonize nae analipwa kilicho haki yake.
 
Back
Top Bottom