Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Hapo cha kuongeza ni chakula chenyewe ushibe. Breakfast inatakiwa iwe ya kushiba kweli kweli.
SafiKi ukweli
Nakamua ngombe
Siwezi kunywa chai ya rangi
Hapo ongeza jibapa la konyagi
Masai wa kwanza usiyekula nyamaHuyo hana mpinzani
Huyo mimi mwenyewe kwa kuwa sili nyama
Ni top3 ya chakula bora cha wakati wote
āGOATā
AiseeHapo ongeza jibapa la konyagi
Sijui hua analenga nn hapoParachichi na chai hua vinaenda..?
Nimenona sanaMasai wa kwanza usiyekula nyama
YamepikwaMakande umenunua wapi au umepika mwenyewe?
Nimetamani kweli
HahahahahHapo ongeza jibapa la konyagi
NaamHapo cha kuongeza ni chakula chenyewe ushibe. Breakfast inatakiwa iwe ya kushiba kweli kweli.
Mtu anakula soseji moja na kipande cha mkateChai za mabachelor sio watoto laini laini wakishua
Maharage au kiporo hakikusumbuagi ?
Safari lager bariiidiiiiš¤£Ongeza bia
Duh pole,unakosa utamu,Fanya mazoezi ili ubalance na nyama utupie kama kawaidaNimenona sana
Napungua
Nakula kwa kias sanaa
Yaani kwa uchache mno
But lately nyama ilikuja tu kunishinda
Haswa mafuta