Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Hhhahaha ndoakili zaoWakati unapokea maelekezo ya mkopo ulikuwa unawaza kiasi kinachobaki naenda kwa yule manzi alie nikataa nampa 200k af napiga shoo ya kibabe na muuacha ndio shida ilipo anzia nafikiri ivyo tu
Dah!...Ila kwa miaka 8 na benki yenyewe ya kibiashara lazima riba iwe kubwa (Ila kwa hapo ni too much)Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744878
Hakutakiwa alipe zaidi ya laki tatu (300,000) kwa mwezi.Bado hata kihesabu sio sahihi. Deni halitakiwi kujumuishwa na riba kwa sababu anaweza kuamua kulipa fedha zote kesho au kuuza mkopo.
Sidhani kama Wana tofauti!!! Kinachokuza riba ni muda utakaotumia Kurudisha mkopo! Kama ni mkopo wa mwaka mmoja mpaka mitatu, riba ni himilivu, Lakini miaka 5 mpaka 7 au 8, hapo damu kukauka hakukwepeki!Kwanini usingeenda NMB au CRDB?
Bayport walinifata ofisini ili wanikopeshe nilipowauliza riba ni asilimia wakaanza chenga chenga braah braah kibao,nikambananisha mmoja wao akaniambia riba ni 47% nikawafukuza ofisini.
Riba ni asilimia 22.3 kwa miaka 8Mikopo mingi kwa Watumishi wa Umma na Binafsi kwenye Mabenki ya biashara sio rafiki hata kidogo.
Maana riba zimekuwa kubwa kuliko wanavyosema.
Kwa hesabu ya haraka, ni kama vile Riba imekuwa ni asilimia 60 tofauti na hiyo asilimi 17 ama 19 inayoandikwa kwenye Mkataba wa Mkopo wako.
Kama hauna ulazima sana, sio vyema kukopa.
Ndiyo maana inashauriwa;
"Tukope kwa Malengo"
Vumilia tu hauna la kuwafanya na riba ikipanda watakupiga nayo ila ikishuka hawana haja na wewe. Bado muda gani ustaafu kwa hiyari?Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744878
Kwanza mkataba huwa hawatoi na ukienda kudai hawakupi. Hii ni karibia bank zote.Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39[emoji26][emoji26][emoji26], nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744878
Walimu ndio wameifikisha hii nchi hapa ilipo!Sasa naanza kumuelewa taratibu Mpwayungu Village kuhusiana na masuala yenu waalimu
Hiyo ni riba ya uongo, maana ukipiga hesabu ya kiasi anachotakiwa kulipa baada ya miaka hiyo 8 unakuta riba ni zaidi ya asilimia 60Riba ni asilimia 22.3 kwa miaka 8
Af dem mwenyewe unakuta afisa biashara 😂Hhhahaha ndoakili zao
Hakuna kitu kama hicho. Hebu tutumie hapa huo mkatabaUkitaka kurudisha leo wanatakabiyo iyo 39M