Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Dah!...Ila kwa miaka 8 na benki yenyewe ya kibiashara lazima riba iwe kubwa (Ila kwa hapo ni too much)

Bora ungekopa Saccos tu
 
Kwanini usingeenda NMB au CRDB?
Bayport walinifata ofisini ili wanikopeshe nilipowauliza riba ni asilimia wakaanza chenga chenga braah braah kibao,nikambananisha mmoja wao akaniambia riba ni 47% nikawafukuza ofisini.
Sidhani kama Wana tofauti!!! Kinachokuza riba ni muda utakaotumia Kurudisha mkopo! Kama ni mkopo wa mwaka mmoja mpaka mitatu, riba ni himilivu, Lakini miaka 5 mpaka 7 au 8, hapo damu kukauka hakukwepeki!
 
Mikopo mingi kwa Watumishi wa Umma na Binafsi kwenye Mabenki ya biashara sio rafiki hata kidogo.

Maana riba zimekuwa kubwa kuliko wanavyosema.

Kwa hesabu ya haraka, ni kama vile Riba imekuwa ni asilimia 60 tofauti na hiyo asilimi 17 ama 19 inayoandikwa kwenye Mkataba wa Mkopo wako.

Kama hauna ulazima sana, sio vyema kukopa.

Ndiyo maana inashauriwa;

"Tukope kwa Malengo"
Riba ni asilimia 22.3 kwa miaka 8
 
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Vumilia tu hauna la kuwafanya na riba ikipanda watakupiga nayo ila ikishuka hawana haja na wewe. Bado muda gani ustaafu kwa hiyari?
 
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39[emoji26][emoji26][emoji26], nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Kwanza mkataba huwa hawatoi na ukienda kudai hawakupi. Hii ni karibia bank zote.

Mkuu una miaka 8 ya kuishi kama shetani.
 
Hii mikopo ndo chazo Cha walimu kutokuudhuria vipind darasan,, coz akiwaza Hela atakayopokea Kwa mwez hata laki haifiki kwasababu ya mikopo anaona Bora awe anashinda shamba au ktk shughuli nyngine ili imwingzie kipato
 
Back
Top Bottom