Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mikopo inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mabenki kama CRDB,NMB,NBC, Postal bank huwa mhazioni mnaenda kukopa vibenki gani hivi?Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39[emoji26][emoji26][emoji26], nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744878
Kama wewe ni mwalimu, na unafanya mambo kama hujaenda shule, wanafunzi wako tufanyeje?Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744878
Rubish,Hata wewe akili huna unakopaje Hela harafu unalipa zaidi ya Hela uliyokopa ety? Ungekuwa karibu yangu ungekula vibao
Mpwayungu village aione kwenye jaladaNimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39[emoji26][emoji26][emoji26], nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744997
Acha dharau umbumbumbu wa fedha ni swala la mtu binafsi na watanzania walio wengi hawana elimu ya fedha usionee walimu eti kisa walimu wanaonekana kirahisi sababu ya wingi waoWaalimu kabla ya kukopa uliza riba ni asilimia ngapi? Kama huwezi kujua hilo ,waambie rejesho kwa mwezi litakuwa kiasi gani uzidishe kwa idadi ya miezi uliyekopa halafu jumla yake utoe kwenye mkopo waliokupitishia.Mara nyingi huwa Wana take advantage ya umbumbumbu wa waalimu kwenye elimu ya fedha kwani wao huuluza tuu watapata kiasi gani na kwa muda gani tuu, suala la riba, garama za mkopo kama loan processing fee , bima nk hawajui, na ukiuliza riba kichwa kichwa badala ya kukuambia riba kwa mwaka , anaigawanya kwa 12 anakuambia riba ya mwezi wewe ukiona digit ni ndogo inaingia mkenge
Kwigwa kwa mbholo, mpaga mininga mmnatoKusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
Maji Ya Kifuu Ni Bahari Kwa Chungu
I love you murembo ❤️Nakubaliana na wewe hayo majamaa yanaitwa PLATNUM CREDIT ni matapeli haswa. Yana kauli ya kuvutia wateja ukiingia kwenye 18 zao utajua hujui. Nawaombeni ndugu zangu msije mkaingia kwenye mkenge wa kukopa haya matapeli.
Mfano yanakwambia hv gari lako mkopo wako. Yatakusainisha mkataba wa maajabu. Ukipitisha rejesho la mwezi kidogo wanakuja kukukamatia gari popote hata kanisani hayajali. Baada ya wiki yanatangaza kwenye magazeti gari inauzwa kwa mnada
Wapumbavu sana hao matapeli
Use ur common sense upumbavu wa mtu hauna uhusiano na kazi anayofanya ,hivi inamaana wewe leo hii ukishaajiriwa kua mwalimu ndio automatically unakua mpumbavu? au upumbavu ni suala la mtu binafsi ,kuna watu wangapi leo hii ni wabunge,mawaziri na viongozi wa makampuni na taasisi mbalimbali ambao walikua walimu,matatizo ya watanzania wengi yanafichwa kwenye mgongo wa walimu sababu ya wingi wao,mbona nakutana na watumishi wa afya mbalimbali wasiokua na ujuzi wa masuala ya fedha? hao tuwaongelee vp nao usiwe na falacy of generalizationSafi sana tukiwaambia walimu ni wapumbavu na akili hawana na kuelewa vitu hawaelewi hii ndiyo yenyewe,
Ndio kauli zenu mas.hoga.I love you murembo ❤️
Dada usiwe mkali... angalia unazeekea kwa shemeji yako!Ndio kauli zenu mas.hoga.
lazima 40 ifike ile 39 wanaikaribisha kwenye makumi iliyokaribuHapo IST inakuwa imenunuliwa kwa milioni 40 kasoro moja
Hii sio kweli, mkataba ni haki yako na unapewa.Kwanza mkataba huwa hawatoi na ukienda kudai hawakupi. Hii ni karibia bank zote.
Mkuu una miaka 8 ya kuishi kama shetani.
Utakuwa umetop up weweNimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu
View attachment 2744997
Huyo shoga na uchumi wapi na wapi?ongea na Mpwayungu Village akupe darasa