- Thread starter
- #21
😆😆😆Hakuna kitu kinaitwa Yanga damu bali kipo kiitwacho Yanga SC au Young Africans, Kolowizard Mwandamizi wewe.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Hakuna kitu kinaitwa Yanga damu bali kipo kiitwacho Yanga SC au Young Africans, Kolowizard Mwandamizi wewe.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ni utamaduni na masharti ya mganga
Unamaanisha ni ush uzi?Kwamba huu nao ni uzi?🤔
Sijasema mimi😁Unamaanisha ni ush uzi?
Basi nmekuelewa vibaya 😹Sijasema mimi😁
Huu upumbavu wa kuwa kila kinachotokea ili ukione ni sawa hadi ukione kimefanyika na Ulaya ndio kiwe sahihi na huku kitasababisha mengi siku moja.Leta mechi moja ya Ulaya
Kwahiyo YANGA ni wachawi kuliko MBUMBUMBU walioenda kuchoma majani ya watu South Africa ☹️☹️☹️Mm yanga damu
Ila yanga wachawi
Ili usiwe Ushirikina mpira unatakiwa utoke nje baada ya dakika ngapi?Hakuna kocha anayefundisha kwamba mpira wa kwanza upigwe nje. Ni ushirikina tu, maelekezo ya sangoma. Comments tofauti na hii ni kujizima data tu