Hiki wanachokifanya Tigo ni kero kwa wateja

Hiki wanachokifanya Tigo ni kero kwa wateja

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Hii ni mara ya 3 ndani ya huu napokea ujumbe kama huu na kubadilisha namba ya siri ya Tigopesa.

Sijui sababu ya wao kufanya hivi ni nini ila kwangu kama mteja ni kero kwa sababu namba nilizozizoea kutumia kama pasword nimeshazitumia zote tatu na ndio zenye urahisi kwangu wa kuzikumbuka.

Wafanye hivi kwa maombi binafsi ya mteja na sio lazima kama wanavyoelekeza.

Nawasilisha.

IMG_20230927_174303.JPG
 
Hii ni mara ya 3 ndani ya huu napokea ujumbe kama huu na kubadilisha namba ya siri ya Tigopesa.

Sijui sababu ya wao kufanya hivi ni nini ila kwangu kama mteja ni kero kwa sababu namba nilizozizoea kutumia kama pasword nimeshazitumia zote tatu na ndio zenye urahisi kwangu wa kuzikumbuka.

Wafanye hivi kwa maombi binafsi ya mteja na sio lazima kama wanavyoelekeza.

Nawasilisha.

View attachment 2764171
Huo ujumbe haukuhusu kama unaridhika na namba ya siri unayotumia. Hawajakuambia ubadilishe, ila kama unatumia mwaka wa kuzaliwa kama namba ya siri, ndiyo inashauriwa kubadilisha ili kuepusha uwezekano wa watu kuingia kwenye akaunti yako ya Mpesa bila ridhaa yako, ikitokea simu yako imeingia mikononi mwao.

Kwa hiyo kama unaridhika na namba ya siri unayoitumia, usifuate hayo maelekezo.

Natumai umenipata.
 
Usipotumia tigopesa kwa muda mrefu huwa wanahuisha na kuwa 0000.
Hivyo ukiingia tigopesa itakulazimu kubadili kwanza namba za siri kabla ya kufanya muamala wowote au huduma ya tigopesa.

You will not be able to reuse the previous PIN.
 
Huo ujumbe haukuhusu kama unaridhika na namba ya siri unayotumia. Hawajakuambia ubadilishe, ila kama unatumia mwaka wa kuzaliwa kama namba ya siri, ndiyo inashauriwa kubadilisha ili kuepusha uwezekano wa watu kuingia kwenye akaunti yako ya Mpesa bila ridhaa yako, ikitokea simu yako imeingia mikononi mwao.

Kwa hiyo kama unaridhika na namba ya siri unayoitumia, usifuate hayo maelekezo.

Natumai umenipata.
KWA MIMI BINAFSI IMESHANITOKEA SANA HIYO NA HAWAKUPI NAFASI YA KUTOA PESA BILA KUBADILISHA HIYO NAMBA YA SIRI.
 
Huo ujumbe haukuhusu kama unaridhika na namba ya siri unayotumia. Hawajakuambia ubadilishe, ila kama unatumia mwaka wa kuzaliwa kama namba ya siri, ndiyo inashauriwa kubadilisha ili kuepusha uwezekano wa watu kuingia kwenye akaunti yako ya Mpesa bila ridhaa yako, ikitokea simu yako imeingia mikononi mwao.

Kwa hiyo kama unaridhika na namba ya siri unayoitumia, usifuate hayo maelekezo.

Natumai umenipata.
Hayo maelekezo ni lazima kwa tigopesa ukibofya menu tu unakutana na kuweka namba ya siri mpya.
 
Usipotumia tigopesa kwa muda mrefu huwa wanahuisha na kuwa 0000.
Hivyo ukiingia tigopesa itakulazimu kubadili kwanza namba za siri kabla ya kufanya muamala wowote au huduma ya tigopesa.

You will not be able to reuse the previous PIN.
Mbona miamala nafanya kwa namba hiyo.
 
Mimi wamenipigia sana kuniambia habari za BIMA yao

Tigo wapunguze pia kutuma SMS kwa wateja
Hii nayo ni kero kwa kweli nna line ya tigo, halotel, airtel na ttcl ila tigo wamezidi kwa sms kwa siku zinafika 10+
 
Hivi Tigo hawana membership humu JF? Ni muhimu malalamiko kama haya yawafikie. Wasipochukua hatua sahihi inaweza kuathiri biashara yao.
Sijajua ila nilijaribu kuwatag sijafanikiwa ila lazima kuna wafanyakaz wao humu. Haya malalamiko nilishawahi kufika ofisi zao majibu yao ni usalama ila sioni kama ni sawa.
 
tigo ni wapuuzi. nikiulizia Salio la vifurushi hawaniletei. niliwauliza huduma kwa wateja wakanidanganya kuwa nipige *103#, nikafanya hivyo yakawa ni yale yale.

"sound gospel!" in kingwendu's voice
 
Hii ni mara ya 3 ndani ya huu napokea ujumbe kama huu na kubadilisha namba ya siri ya Tigopesa.

Sijui sababu ya wao kufanya hivi ni nini ila kwangu kama mteja ni kero kwa sababu namba nilizozizoea kutumia kama pasword nimeshazitumia zote tatu na ndio zenye urahisi kwangu wa kuzikumbuka.

Wafanye hivi kwa maombi binafsi ya mteja na sio lazima kama wanavyoelekeza.

Nawasilisha.

View attachment 2764171
...Hapo Wanakushauri, Sio wanataka ubadilishe password !! [emoji57]
 
Hii ni mara ya 3 ndani ya huu napokea ujumbe kama huu na kubadilisha namba ya siri ya Tigopesa.

Sijui sababu ya wao kufanya hivi ni nini ila kwangu kama mteja ni kero kwa sababu namba nilizozizoea kutumia kama pasword nimeshazitumia zote tatu na ndio zenye urahisi kwangu wa kuzikumbuka.

Wafanye hivi kwa maombi binafsi ya mteja na sio lazima kama wanavyoelekeza.

Nawasilisha.

View attachment 2764171
Ndio maana ya Tigo
 
...Hapo Wanakushauri, Sio wanataka ubadilishe password !! [emoji57]
Wanataka maana ni lazima ukipiga menu ya tigopesa ni lazima uanze kwanza na kuchange namba ndio zile options nyingine zije.
 
Back
Top Bottom