Hiki wanachokifanya Tigo ni kero kwa wateja

tigo ni wapuuzi. nikiulizia Salio la vifurushi hawaniletei. niliwauliza huduma kwa wateja wakanidanganya kuwa nipige *103#, nikafanya hivyo yakawa ni yale yale.

"sound gospel!" in kingwendu's voice
Tigo wajirekebishe mtandao wao una kero nyingi ni vile nilijiunga na namba yao kwenye mambo mengi ya msingi ningeshawatupilia mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…