Hilda Newton: Nimepokea taarifa kuwa Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi

Wakati wa Lissu kuonesha umwamba wake, alisema yeye sio Mbowe laini laini. Hatokubali mwanachadema kuonewa
 
Alipowekwa ndani kwa miaka yote hiyo Mbowe alikuwa wapi?! Mbona hamkumlilia Mbowe amsadie? Leo mnaleta maneno maneno ya nongwa?!
Mbowe alilamba asali…. Tunawataka mashujaa akina Lissu wamtoe kinguvu
 
Kamata peleka ushahidi ahukumiwe bas! Si vinginevyo
Haya mambo yana utaratibu wake, kazi ya kutafuta ushahidi sio rahisi, wape nafasi, justice hurried is justice burried
 
Alipowekwa ndani kwa miaka yote hiyo Mbowe alikuwa wapi?! Mbona hamkumlilia Mbowe amsadie? Leo mnaleta maneno maneno ya nongwa?!
Mbowe kashindwa ndio maana akapewa lissu, cha ajabu Lissu yupo hotel bagamoyo habari za maandamano ya kumtoa kijana hayapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…