Hili bango karibu na Ubalozi wa Ufaransa limenifikirisha

Team picha
 
Vipi msimamo wako kuhusu maulid? Maana kuna watu wanatoka povu hadi kuandaa munaqasha. Mimi sio muisilamu ila huko mitandaoni huwa nashuhudia malumbano si ya kitoto kuhusu maulidi, wengine wakisema ni ushirikina
Wanaofanya wafanye wasiofanya wasifsnye.

Mie nikikuta pilau naipiga tu, siasa zao watajuwana wenyewe.
 
Hiyo mitaa si ndio pia wafia dini walijilipua kwenye ubalozi wa Marekani....kuna vingine nadhani huwa havitokei kwa bahati mbaya...
 
somo limeeleweka, umeandika kwa hekima na busara kubwa sana, tena bila jazba na munkari. Na mimi naandika, hilo bango halikuwekwa pale hivi hivi tu, kuna ujumbe zaidi ya huo ulioandikwa hapo linatoa. Akili akilini katika kufikiria
 
Hiyo mitaa si ndio pia wafia dini walijilipua kwenye ubalozi wa Marekani....kuna vingine nadhani huwa havitokei kwa bahati mbaya...
Ndiyo hapo hapo mkuu, upande mmoja tukio katika ubalozi wa ufaransa, upande wa pili ubalozi wa Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…