Hili bango ni live kwa kiba..

Hili bango ni live kwa kiba..

mondi kachukua kwani?? na huyo van ana bifu kiba kwani
 
Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo?

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
kumbe asante kwa kunitoa tongotongo
 
This's stupid!!!

Na tatizo la watu ni ile kuona kwavile BET inafanyika USA basi ndo wanadhani BET ni kubwa kuliko MTV!!
 
Mwambie huyo fala wa wcb
Asishindane na tembo kunya
Tuzo ya kupewa nyuma ya
Jukwaa nayo tuzo
 
Huyo dogo ameimba nini wadau? Halafu kumlinganisha na Kiba si sahihi, hicho ki tuzo uchwara kisimpe kiburi
Watoto wadogo hawa wajuz
Wanataka kujilinganisha
Na baba zao mkuuu
Af wengi wao n maneno ya kwenye kanga tu
 
Tuzo wanakabidhiwa nje nayo tuzo.....waache ushosg@ hao
afu mbn ile tuzo siielewi nahis kma haipo kweny orodh yao mana juzi millard ametoa vipengel vyote lkn hicho cha rayvann hakija toka sas cjui imekaaje
 
Ukifwatilia tuzo yenyewe inavyotolewa utatamani hata usiipate.Waafrika tutazidi kudharaulika melele na milele Amina.
 
Sasa hapo si wanamponda boss wao bila kujua hawa manyumbu, maana Diamond naye hajawahi kulamba bet

Ww hapa unajaribu kukwepa shambulio la direct la ngumi ya uso......
Diamond hajawahi kujiita King, yy ni Simba a.k.a Raisi.
 
Ushabiki wa kijinga kweli wa wanaume wa Dar, huyo Rayvanny alipokuwa anaomba kura hakusema anaomba za team Diamond watu wamepiga kura watz wote matokeo yake ndo hayo team kiba wanasimangwa siku nyingine wasipompigia mnaanza sema watu hawana uzalendo ohhh wana wivu hawapendi mafanikio,hivi vitu vinatakiwa kukemewa na wanamziki wenyewe.

Hata katika soka ndo maana simba na yanga hawashangiliani haa siku moja maana simba walimshangilia yanga kimataifa wakibeba kombe tu moja kwa moja wataanza kuwakejeli simba ...

Sijui nini kifanyike kuondoka huu ushabiki maandazi
 
Back
Top Bottom