Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia kuna mjumbe katinga na wife wake.
na kuna mwingine anawakilisha wachawi
Na yeye amejitetea eti mke wake ni mwanachama halali wa NLD hivyo ana haki ya kuchaguliwa na kuwaambia wale wa Zanzibar walizembea hawakupeleka jina ndio maana kwenye chama chake wakachaguliwa wawili toka bara bila mwakilishi wa Zanzibar. Ila patamu hapo maana machungu ya posho hayaonekani hapo kwani wana-share room ala posho inayobaki inaingia kwenye income generating activities (hivi vyama wakati mwingine ni kama SACCOS za watu flani maana hata kama ni mwanasiasa inatakiwa uwe na shughuli nyingine inayokuingizia kipato lakini wanasiasa wetu ni tofauti kabisa na ndio maana wakiingia huko wanawaza kuongeza posho)Nasikia kuna mjumbe katinga na wife wake.
na kuna mwingine anawakilisha wachawi
Hili nalo nenohili bunge la ajabu sana
nasikia kuna akita mwita wawili wanatumia jina moja wote wamelamba posho
na wote wako Dodoma wanatafutiwa ukwel yupi ni yupi ?
Mtikila mwenyewe mhuni!
Nakubaliana nawe kwa hili kwani akulipae ndio akuchagulie nyimbo ya kuimba. Sasa nakubaliana na kauli ya Mtikila.Inategemea sana nani aligharamia hicho kikao cha wanaoitwa wasomi na alitaka kitoe msimamo gani! Ajabu ni kuwa kwa nini hawakupendekeza na kutetea kwa nguvu Serikali moja wakati tume inakusanya maoni na kuandika rasimu?