Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
kete anazobaki nazo wa ukae baada ya kushinda ni ushahidi kuwa analijua draft
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkivunja rekodi hiyo nawapa nyingine ya dakika 58Sasa nataka kuivunja records yako ya do 1:09 muda si mrefu utajua kuwa kuna watu hatuna utani kwenye michezo hiiView attachment 1444139View attachment 1444140
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kuna game za wa ukae hapo kete zingine hazikusukumwa kabisa zipo Kama zilivyo umeziona? Jamaa anashinda kwa kusukuma kete tisa tu!Issue siyo kubaki na kete, isipokuwa ushindi ndo unatakiwa.
Kwa sababu wote wameshinda, kipimo kilichopo hapa ni kutumia muda mfupi zaidi.
Draught inategemea na mbinu unazotumia, mimi mchezo wangu ni wa kushambulia sana , ukicheza mashambulizi ya kawaida au defensive game utabaki na kete nying tuMkuu Kuna game za wa ukae hapo kete zingine hazikusukumwa kabisa zipo Kama zilivyo umeziona? Jamaa anashinda kwa kusukuma kete tisa tu!
Kwa muda sio siri Radicals yupo vizuri zaidi , ila huyo bin kulijua kweli analijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kaweka difficulty 35℅ sio kirahisi hivyo anatujambisga tuRecord ya pili siyo sahihi
Game ni dk 1:80 (Hii ni 1:8 ambayo ni dakika 1 na sekunde 8 na si sekunde 80).
All in all, unatisha.
Mimi huwa nafungwa hadi nalifuta baada Ya muda nalidownload tenaIngia google play tafta dalmax checkers, i-download hlf chagua Tanzanian rules, hlf kwenye difficulty uweke 100%
Kati ya michezo kumi ukiweza shinda atleast michezo sita tu, kila unapocheza nae, bhas ww utakuwa ni bingwa wa draft..
Nimekuelewa mkuu, mie ni shabiki tu , Ila nawewe pia unatishaDraught inategemea na mbinu unazotumia, mimi mchezo wangu ni wa kushambulia sana , ukicheza mashambulizi ya kawaida au defensive game utabaki na kete nying tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza na level za chini, usiweke 100%. Weka let say 50%Mimi huwa nafungwa hadi nalifuta baada Ya muda nalidownload tena
Hapo hadi mtu uwe na simu mbili, unacheza mwingine anarekodiJamani hakuna njia mnaweza screen recording hizi game mturushie video tuone huyu jamaa ana pigwaje
Hahahaa, hiyo rekodi ukivunja nakubandikia nyingine fastaLeo nitaivunja hii records iliopo ili kumaliza ubishi wa nani zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app