naomba step mpaka kuifikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishadownload kwenye app store/playstorenaomba step mpaka kuifikia
Kweli mnaopokea za uso mpo wengi sana humu, wengine wamepotea kabisaNimelabuliwa Super Kimasihara!
Najua tupo wengi Ila hamuwezi sema.
Kweli mnaopokea za uso mpo wengi sana humu, wengine wamepotea kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa, hadi sasa jamaa hawajarudi, wanapigwa za uso tu, nipeni ubingwa wangu wa JFMimi nimebaki kuwa moderator wa mpambano, hii vita na Dalmax nimechemsha.
Hao jamaa wanahangaika sana huko😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌Hahahaaa, hadi sasa jamaa hawajarudi, wanapigwa za uso tu, nipeni ubingwa wangu wa JF
IFRS
wa ukae
Mmekwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa, hadi sasa jamaa hawajarudi, wanapigwa za uso tu, nipeni ubingwa wangu wa JF
IFRS
wa ukae
Mmekwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa, kama nawazoom vile, wanacheza na kupigwa za uso , kucheza kwa muda huo hutakiwai ufikirie sana. Yaani Dalmax anavyolala wewe ndio ufikiri, akicheza tu nawe chezaHao jamaa wanahangaika sana huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kamisaa unapendelea, mbona mimi niliahidi nitavunja rekodi zao ndan ya siku za kaziMatokeo rasmi tutayatangaza Jumapili usiku, tuwape muda weekend hii.
Wakati huo tunasubiri kuna mtu mpya anaweza kutufanyia surprise.
Yeah, aje mpya, nae atupe challenge, tunamsubiriMatokeo rasmi tutayatangaza Jumapili usiku, tuwape muda weekend hii.
Wakati huo tunasubiri kuna mtu mpya anaweza kutufanyia surprise.
Ushawai kucheza mashindano gani makubwa hapa Tanzania. Fundi mabao? Au bwana radical madanali.Kamisaa unapendelea, mbona mimi niliahidi nitavunja rekodi zao ndan ya siku za kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mchezaji mzuri sana, na mimi ni miongoni wa top ten ya wachezaji wakali zaidi hapa tzUshawai kucheza mashindano gani makubwa hapa Tanzania. Fundi mabao? Au bwana radical madanali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewahi kucheza na wachezaji wakubwa, mashindano ratiba huwa inanibanaUshawai kucheza mashindano gani makubwa hapa Tanzania. Fundi mabao? Au bwana radical madanali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo Nani wewe au Ronaldo au Nduli?Mimi ni mchezaji mzuri sana, na mimi ni miongoni wa top ten ya wachezaji wakali zaidi hapa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Dalmax ni mwepesi sana, bado hii level ya 100% sio ngumuNgoja niwatafute mangwelele na Ronaldo. Nimuwekee dalmax day wacheze kitu kitu dhidi ya Dalmax. we
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamisaa unapendelea, mbona mimi niliahidi nitavunja rekodi zao ndan ya siku za kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya nini? wewe unachoweza ni kilimo kule chunya na kawetere hivi vitu vinahitaji ufundi sio manenoNitarudi