lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Hongera sana!!Kipigo [emoji110]View attachment 1461322
Ndio maana bingwa ni yule alieshinda kwa muda mchacheHapa Kuna watu wengi watakua wanarudia kete mmoja Mara kadhaa ili kuepuka kipigo halafu wanakuja kupost kuwa wameshinda!
Kwakweli, mm limenitandika ile mbaya , nimepata draw chache na ushindi 1Ndio maana bingwa ni yule alieshinda kwa muda mchache
samba ndo copy gn mkuuFormula/copies zipo nyingi sana... ila dalmax cheza nae samba ndio anapigika kwa urahisi, usicheze kumbana kama hujazoea utaumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia dk alietumia,huwezi kurudisha kete then ndani ya dk 1 uwe umempiga,ukirudisha kete lazima utumie muda mwingi,hapa nimempiga ndani ya dk 1Hapa Kuna watu wengi watakua wanarudia kete mmoja Mara kadhaa ili kuepuka kipigo halafu wanakuja kupost kuwa wameshinda!
Mkuu hiyo 50% weka 100% hapo ndio utaonana anavyosukuma kete. Mi nimepata formula MOJA akichomoka draw.Angalia dk alietumia,huwezi kurudisha kete then ndani ya dk 1 uwe umempiga,ukirudisha kete lazima utumie muda mwingi,hapa nimempiga ndani ya dk 1 View attachment 1463062
Weka 100Angalia dk alietumia,huwezi kurudisha kete then ndani ya dk 1 uwe umempiga,ukirudisha kete lazima utumie muda mwingi,hapa nimempiga ndani ya dk 1 View attachment 1463062
Mkuu, umeweka 50% , weka 100% kama unataka ushindani wa kweliAngalia dk alietumia,huwezi kurudisha kete then ndani ya dk 1 uwe umempiga,ukirudisha kete lazima utumie muda mwingi,hapa nimempiga ndani ya dk 1 View attachment 1463062
Unacheza kete ya major line/ikweta usawa huo huo wa majorsamba ndo copy gn mkuu
Tandaza kete mzeesamba ndo copy gn mkuu
Mkuu wewe ni hatari aisee.[emoji3][emoji3][emoji3] mimi nilikuwa najionaga kidume kumbe wapi.View attachment 1463049mwepesi tu,nimempiga kirahisi kabisa
Hujaweka 100 kumbe?Angalia dk alietumia,huwezi kurudisha kete then ndani ya dk 1 uwe umempiga,ukirudisha kete lazima utumie muda mwingi,hapa nimempiga ndani ya dk 1 View attachment 1463062