Hii kopi mwamba nilimkalisha ndani ya dk2.5..japo alinipiga fosi moja ya kibabe lkn mwisho wake alikaa...
Zingatia mambo yafuatayo
1.Hakikisha hakupunji kete hata moja...kila kete unayosukuma hakikisha inabackup ya kuilinda isiliwe bure
2.Mwamba anafosi za mbali sn kwahy hakikisha upigwi fosi za kizembe...mda wowote kua makini na fosi na kupigwa tutusa ambazo zitapelekea kuounjwa kete
3.Hakikisha uchezi gemu ya kubanana kwasababu mwisho wa siku utatengeneza mimba na mwamba ni mzuri san katika kutumbua mimba...na pia ni ngumu sana kumshinda kwenye stepu
4.Usiwe na tamaa sana ya kuwai kufika king na pia usiwe mgumu sn wa kumyima kingi bila ya sababu kwasababu mabigwa uwa atunyimani kingi tunanyimana ushindi