Kanipiga Hadi keroDalmax bado miguu yote ajamaliza ndugu.wala usimuamini dalmax maana kuna miguu haijui kabisa.ukikutana na bingwa uyo dalmax haonekani kwenye ramani
Uwezo unazidianaKama dalmax anawatoa jasho je mkikutana na mangwezi mwenyewe si hata kingi ufiki
na-download inagoma...Ingia google play tafta dalmax checkers, i-download hlf chagua Tanzanian rules, hlf kwenye difficulty uweke 100%
Kati ya michezo kumi ukiweza shinda atleast michezo sita tu, kila unapocheza nae, bhas ww utakuwa ni bingwa wa draft.
Nasikia lipo la mtandaoni la kibongo. Nipeni link
Huyo ni artificial intelligence kila ukiishinda inachukua techniques zako na pia inachukua techniques za watu wengine so unakuwa unacheza na watu kama 1000 kwa wakati mmoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na bado hapo hujaongeza power of computer kwenye probabilities ambayo in kokotoa njia za game iende ili awe mshindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Jamaa napambana nae kila kukicha lakini bado ananishinda. Ile inahitaji tricks sana. Halafu kama anakusoma live ukicheza. Kanishinda yule!
Saa ingn nakubali iishe droo.
Huyo ni artificial intelligence kila ukiishinda inachukua techniques zako na pia inachukua techniques za watu wengine so unakuwa unacheza na watu kama 1000 kwa wakati mmoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na bado hapo hujaongeza power of computer kwenye probabilities ambayo in kokotoa njia za game iende ili awe mshindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Hujaelewa hizo rule zinakuja na game.. AI model sio kubwa kiivyo.. Lakini wewe si unatumia internet so huwa linaupdateUkishali-download linakuwa liko offline, hizo communications hazipo, unabaki ni wewe na lenyewe tu.
Pia unapocheza kuna codes zinajiandika, naamini njia zipo coded huwezi kumshinda kizembe.Huyo ni artificial intelligence kila ukiishinda inachukua techniques zako na pia inachukua techniques za watu wengine so unakuwa unacheza na watu kama 1000 kwa wakati mmoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na bado hapo hujaongeza power of computer kwenye probabilities ambayo in kokotoa njia za game iende ili awe mshindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Codes haziwezi jiandika ila inarecord vibox ulivyopita kwa mtiririko so inakuwa inajua njia gani unapenda pita so inafanya mahesabu inajua jinsi ya kuufungaPia unapocheza kuna codes zinajiandika, naamini njia zipo coded huwezi kumshinda kizembe.
HatariHuyo ni artificial intelligence kila ukiishinda inachukua techniques zako na pia inachukua techniques za watu wengine so unakuwa unacheza na watu kama 1000 kwa wakati mmoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na bado hapo hujaongeza power of computer kwenye probabilities ambayo in kokotoa njia za game iende ili awe mshindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Hadi wakina noel, nonaldo na wengineo wamekaa.
Humo kuna mwamba wa kuitwa Mkulima, mabingwa wote unaowajua wamekaa.
Mkulima no noma yule mwamba
Humo kuna mwamba wa kuitwa Mkulima, mabingwa wote unaowajua wamekaa.
Ronaldo alipigwa sita bill, noel alipigwa 2 bilaHadi wakina noel, nonaldo na wengineo wamekaa.
Dalmax kumfunga unahitaji hesabu za hali ya juu Sana, haiingii kwenye copyCodes haziwezi jiandika ila inarecord vibox ulivyopita kwa mtiririko so inakuwa inajua njia gani unapenda pita so inafanya mahesabu inajua jinsi ya kuufunga
Na mjuba hajulikani katika tasnia ya mabao nahisi.Ronaldo alipigwa sita bill, noel alipigwa 2 bila