Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Huyu jamaa anafaa kuwa mwalimu, ameelekeza vizuri nimeenda kutest ni kweli.Hiyo pipe inayoshuka chini imeenda moja kwa moja kuunganishwa na sink la choo kwa nyuma hivi, ambapo kwenye hilo sink la choo kuna inlet inayoruhusu maji kupita na kuflashi sehemu yote ya ndani sink.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kupata Choo mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kupata Choo mkuu!
Chombo cha kuchujia maji ya kunywaNaombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua. View attachment 2251198
Yaani weye!! Zee zima! eti naweye ni Baba! una minywele kila Mahali kabisaaa!! tena zimesha badika rangi! ...unakwenda chooni kwangu unajikalia vizuri, unachomoa mjisimu wako wa Nokia ya kitochi mfukoni!Nieleweshe
Nipo mkoa gani mbona kama kweli [emoji23]Yaani weye!! Zee zima! eti naweye ni Baba! una minywele kila Mahali kabisaaa!! tena zimesha badika rangi! ...unakwenda chooni kwangu unajikalia vizuri, unachomoa mjisimu wako wa Nokia ya kitochi mfukoni!
unaanza kupiga picha uchi kabla hujachamba nyaa? unairusha hewani ? kweli?.....Uondoke urudi kwenu kijijini, nayasema haya kwakuwa choo kina camera tumekuona ondoka bana urudi kijijini!
nyie kuwajua ni rahisi sana ndo mnachambiaga kuta za choo nyie! mnajulikana kirahisi tu! tena unarudi kabisaaa nieleweeesheee!...kifupi nimekuona sana!! ondoka kwangu sina mengi!
Kwahiyo kabla ya kunya inabidi hili sanduku nilijaze majiHilo storage ya maji. Na hiyo kamba unaivuta baada ya kumaliza kushusha mizigo yako hivyo kuruhusu maji toka katika hilo box na Ku flash habari yako uloitua hapo
Umetisha….Hilo dude kazi yake Ni kwa ajili ya kufurashi chooni ukienda malawitoni baadala ya kubeba ndoo ya maji na kopo Hilo dude limebeba maji ndani kabla au maada ya kushusha mzigo Kuna sehemu unabonyeza kwa juu hapo maji yanatoka na kusukuma uchafu wako kwenda kwny shimo taka,
Katisha sana huyu jamaa anajua kuelekeza mpaka unafrahiUmetisha….
Yanakaa maji na hiyo kamba unaivuta maji yanaflash kimba!Naombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua. View attachment 2251198