Imeisha hiyooMwite kidagaa mkuu akusaidie
Vipi ile chai yako utaendelea nayo au?Naombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua. View attachment 2251198
Hilo ni kabati la nguo sema aliye weka hapo kasahau tuuuNaombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua. View attachment 2251196
Mbona unakuwa mkali mkuu .Hilo dude husaidia kumwagia mbolea ambayo hutolewa na binadamu katika maeneo hayoKama hujui kazi yake kwani lazima ukomentiiii??
Hadi kwanza nione hilo dude analoseaWakuu njooni mumjibu hachelewi kuzira huyu
Huyu jamaa na Rapa DJ don nalimison Deo Kisandu sijui nani chizi kuliko mwenzake.Wakuu njooni mumjibu hachelewi kuzira huyu
Panda juu uchuchumae utaokota tanzanite.Teh!Naombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua. View attachment 2251198