Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Haya ndiyo yanawasababisha kupata mental problems wanaishia kukamatwa na ma askari kanzu kama kukuHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Hilo sio gogo ni kigogoHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Mbona mpira alisharudishaNi salamu kwa ki-gogo wa twitter kwamba anaweza kuwekwa mgongoni akafinyangwa kwa hiyo aache shobo
Mjeda halalii mto mkuu
Ni sawa tu na kubeba mchanga kilo30 kwani huwa ni wakazi ganiHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuonyesha umahili wetu kutembea na mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].nasikia huyo jamaaa anaweza fika marekani na hilo gogo tena kwa mguuu.
si heri atoke na mto huko kambini kuliko kubeba gogo zito hivo
πππKuni ya kupikia....si unajua vitani hakuna gesi wala mkaa!
Vita za Karne ipi hiyoKuni ya kupikia....si unajua vitani hakuna gesi wala mkaa!
MBE!
kidogo wewe umeelewekaProtector hyo..ukililaza chini risasi zinaishia hapo