Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
INTRODUCTION:-
Wale wenye Nchi nawasalimia UBAYA UBWELAAAA
Wale wananchi wenzangu, wanasalimia kwa "Wananchiiiiiiii"
Twende kwenya mada ....
BODY:-
Nanenane ndio hiyooo, na kama kawa nimeshafika Mbeya tokea 31/07.
Na hii ndio ratiba ya gambe ....
1. 31/08 bata lili liwa Rombo Bar, Kabwe, alongside njia ya kwenda Makunguru/Isanga.
2. 01/08 ndani ya City Garden ulikuwa ni mwendo wa Bapa na Kuku choma
3. 02/08 Kuna ka-pub fulani kipo nje ya Mbeya Pazuri. Mwamba sanaaa, mshikaji wangu hatari wa moja ya benki Mbeya aliniita. Angusha sanaaa serengeti litee za kutosha na mishkaki.
4. 03/08 Siku Ubaya Ubwela, saa 12 jioni nitakua Mbeya pazuri mpaka mida ya usiku unene. Wale twiga ile mbuga pale SAE (Mbeya Pazuri) pale ni nomaaa ...!!!
5. 04/08 Siku ya Wananchi nitakuwa Mbeya Pazuri, ni mwendo wa Biaaaaaa...!!!
6. 05/08 kuna mwamba sanaa kutoka moja wapo ya halmashauri Iringa anawasili, huyu mwana anapenda bar za uswazi. Tutaenda Nasoma kula biaaa
7. 06/08 Nitalala guest kwanza kufanya Factory setting.
8. 07/08 tunaenda kumpa kampani mwamba kafungua bar mitaa ya Simike...!!!
9. 08/08 Siku ya Derby, ni palepale Mbeya Pazuri tukazidandie zile twiga.
10. 09/08 si ndio siku ya mwisho.
Hii haina kulala, nikukesha kuzurura kila bar. Ikifika saa 1 asubuhi tunalifata gari lilipo tunaanza safari ya kurudi home.
CONCLUSION.
Ujana ndio huu
Per diem haijengi nyumba, ulipewa kuitumia.
Tuendelee kutafuta helaa..
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wale wenye Nchi nawasalimia UBAYA UBWELAAAA
Wale wananchi wenzangu, wanasalimia kwa "Wananchiiiiiiii"
Twende kwenya mada ....
BODY:-
Nanenane ndio hiyooo, na kama kawa nimeshafika Mbeya tokea 31/07.
Na hii ndio ratiba ya gambe ....
1. 31/08 bata lili liwa Rombo Bar, Kabwe, alongside njia ya kwenda Makunguru/Isanga.
2. 01/08 ndani ya City Garden ulikuwa ni mwendo wa Bapa na Kuku choma
3. 02/08 Kuna ka-pub fulani kipo nje ya Mbeya Pazuri. Mwamba sanaaa, mshikaji wangu hatari wa moja ya benki Mbeya aliniita. Angusha sanaaa serengeti litee za kutosha na mishkaki.
4. 03/08 Siku Ubaya Ubwela, saa 12 jioni nitakua Mbeya pazuri mpaka mida ya usiku unene. Wale twiga ile mbuga pale SAE (Mbeya Pazuri) pale ni nomaaa ...!!!
5. 04/08 Siku ya Wananchi nitakuwa Mbeya Pazuri, ni mwendo wa Biaaaaaa...!!!
6. 05/08 kuna mwamba sanaa kutoka moja wapo ya halmashauri Iringa anawasili, huyu mwana anapenda bar za uswazi. Tutaenda Nasoma kula biaaa
7. 06/08 Nitalala guest kwanza kufanya Factory setting.
8. 07/08 tunaenda kumpa kampani mwamba kafungua bar mitaa ya Simike...!!!
9. 08/08 Siku ya Derby, ni palepale Mbeya Pazuri tukazidandie zile twiga.
10. 09/08 si ndio siku ya mwisho.
Hii haina kulala, nikukesha kuzurura kila bar. Ikifika saa 1 asubuhi tunalifata gari lilipo tunaanza safari ya kurudi home.
CONCLUSION.
Ujana ndio huu
Per diem haijengi nyumba, ulipewa kuitumia.
Tuendelee kutafuta helaa..
#YNWA
#YANGA_BINGWA