tukitoka kikombe hichi tunaenda kulichukua caf champion labda viongozi waamue kuipangua timu kwa kuuza wachezajiSimba wanaandaa story walibeba mwaka 79 subiri watakuja na picha. Ngojea tulibebe kwanza.
Tukuite nani hapo ulipokaaMchujue kombe kwenye ardhi ya mwarabu 🤣🤣🤣 nimekaa pale.
Duh 😄😄😄😄😄😄😄😄💛💚
Yaani hata mkishinda tano hapa kule lazima mnye, tuwekeane dau mkuu, kama mechi mngekuwa mnamalizia hapa sawa ila kule mmmmh.Tukuite nani hapo ulipokaa
Mwarabu anakufa kwa mkapa na anaenda kufa kwao AlgeriaYaani hata mkishinda tano hapa kule lazima mnye, tuwekeane dau mkuu, kama mechi mngekuwa mnamalizia hapa sawa ila kule mmmmh.
Hakuna kisichowezekana. Muhimu Umoja na kujikubalisha. Uwezo upo.Mchujue kombe kwenye ardhi ya mwarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekaa pale.
Umekaa ukisubili uitwe nani??Mwarabu anakufa kwa mkapa na anaenda kufa kwao Algeria
Yaani hata mkishinda tano hapa kule lazima mnye, tuwekeane dau mkuu, kama mechi mngekuwa mnamalizia hapa sawa ila kule mmmmh.
😀😀 sawa ngoja tuoneMwarabu anakufa kwa mkapa na anaenda kufa kwao Algeria
Ndiokwani una hati miliki ya JF?
Kweli mkuu yaani Wana roho za kichawi sana hawa utazani hawaishi [emoji1241]Wananchi tutembee kuanzia wawili wawili maadui ni wengi.