Hili jambo kwa kweli sitajisamehe. Linanitesa sana. Huyu Tapeli alitudanganya wengi

Hili jambo kwa kweli sitajisamehe. Linanitesa sana. Huyu Tapeli alitudanganya wengi

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Jamaa yangu ananiambia maneno haya akiwa na huzuni sana.

Kama kuna jambo sitakuja jisamehe ni hili la kufikiria kuwa Yericko Nyerere alikuwa anafahamu mambo ya ujasusi. Hili sitajisamehe kwa kweli. Huyu jamaa alikuwa anasema Russia inawamaliza Nato na Ukrain ndani ya siku chache sana.

Ndo nikaja kushtuka. This time akiwa anamtetea Mbowe ndo nikaja kugundua Yericko ni kilaza sana. Hapo ndo nikagundua nilikuwa bwege,zoba na kilaza sana. Huyu jamaa kumbe ni kilaza sana. Maandiko mengi alikuwa anayakusanya toka kwa The bold anaenda chapisha kitabu kama vile yeye kaandika.

Nimeshangaa alishindwa fanya utafiti mdogo kugundua kuwa Lissu ndiye aliyekuwa akitakiwa na watu. Ameshindwa mshauri Mbowe kuwa alipaswa astaafu kwa heshima awaachie wengine wapambane. Yeye ameangalia zaidi tumbo lake.


Jamaa amemalizia maneno hayo akisikitika sana na kujilaani.
 
Jamaa yangu ananiambia maneno haya akiwa na huzuni sana.

Kama kuna jambo sitakuja jisamehe ni hili la kufikiria kuwa Yericko Nyerere alikuwa anafahamu mambo ya ujasusi. Hili sitajisamehe kwa kweli. Huyu jamaa alikuwa anasema Russia inawamaliza Nato na Ukrain ndani ya siku chache sana.

Ndo nikaja kushtuka. This time akiwa anamtetea Mbowe ndo nikaja kugundua Yericko ni kilaza sana. Hapo ndo nikagundua nilikuwa bwege,zoba na kilaza sana. Huyu jamaa kumbe ni kilaza sana. Maandiko mengi alikuwa anayakusanya toka kwa The bold anaenda chapisha kitabu kama vile yeye kaandika.

Nimeshangaa alishindwa fanya utafiti mdogo kugundua kuwa Lissu ndiye aliyekuwa akitakiwa na watu. Ameshindwa mshauri Mbowe kuwa alipaswa astaafu kwa heshima awaachie wengine wapambane. Yeye ameangalia zaidi tumbo lake.


Jamaa amemalizia maneno hayo akisikitika sana na kujilaani.
Yeriko ni Mchumia tumbo tu huyo......
 
1000341841.jpg
 
Jamaa yangu ananiambia maneno haya akiwa na huzuni sana.

Kama kuna jambo sitakuja jisamehe ni hili la kufikiria kuwa Yericko Nyerere alikuwa anafahamu mambo ya ujasusi. Hili sitajisamehe kwa kweli. Huyu jamaa alikuwa anasema Russia inawamaliza Nato na Ukrain ndani ya siku chache sana.

Ndo nikaja kushtuka. This time akiwa anamtetea Mbowe ndo nikaja kugundua Yericko ni kilaza sana. Hapo ndo nikagundua nilikuwa bwege,zoba na kilaza sana. Huyu jamaa kumbe ni kilaza sana. Maandiko mengi alikuwa anayakusanya toka kwa The bold anaenda chapisha kitabu kama vile yeye kaandika.

Nimeshangaa alishindwa fanya utafiti mdogo kugundua kuwa Lissu ndiye aliyekuwa akitakiwa na watu. Ameshindwa mshauri Mbowe kuwa alipaswa astaafu kwa heshima awaachie wengine wapambane. Yeye ameangalia zaidi tumbo lake.


Jamaa amemalizia maneno hayo akisikitika sana na kujilaani.
Kwa mtazamo wangu naamini kabisa kwamba Mbowe alikuwa anajua kwamba hawezi kushinda ila angefanya uamuzi wa kujitoa isingekuwa njia nzuri kukupaisha chama ila njia ya kupiga kampeni na kufanya uchaguzi wa kidemokrasia na kisha kukubali matokeo ya uchaguzi ni njia nzuri ambayo imesaidia kuipaisha Chadema na ku-make headline kwenye vyombo mbali mbali vya habari duniani na pia limeonyesha kwamba Chadema inafuata msingi wa uchaguzi huru na wa haki suala ambalo inalipigania pia kitaifa.
Ila kwa asiye na uelewa ataamini kwamba Mbowe aliingia kwenye mchakato wa uchaguzi akitegemea atashinda dhidi ya Lissu!
 
RUSSIA INAENDA KUWAMALIZA NATO NA UKRAINE NDANI YA MUDA MFUPI. HII VIJANA WENGI WA 2000 WALIINGIA CHAKA
 
Back
Top Bottom