Hili jambo la internet serikali inabidi waliangalie vizuri

Hili jambo la internet serikali inabidi waliangalie vizuri

Juzi juzi hapo nilienda Vodashop kama tatu kila mtu anasema la kwake. Hawa wanasema watanipa router ndogo ya 75,000 na kuniunga Kasi Internet, nikipata 50GB kwa mwezi zinatosha ila kifurushi cha 50,000 wanakupa 30GB na 20GB bonus. Sasa kimbembe ni kuwa hiyo router wengine wanasema ina ofa ya kuanzia ya 50GB na wengine wanasema ishaondolewa. It doesn't make sense ninunue rooter inayotumia mtandao mmoja tu na haina ofa, si ningenunua nyingine hata za 100k ila universal.
Bado kama kwenye website wamesema ina ofa alafu kwenye vituo vyao wanasema haina, basi na hiyo 20GB bonus sio guaranteed. Kwahiyo wanataka ninunue 30GB per month kwa 50,000? HESLB wakisikia hivi watalia

Ukija kwa TTCL hao ndio wabaya zaidi. Wengine wanadai wanatoa 40GB kwa 70,000 alafu router wanaiuza 120,000 kama sijasahau. Speed ndogo najua

Hapa sijui nifanye nini. Nina mambo ya kusoma na kufanyia kazi kibao nikipiga hesabu naona hazisomi
 
Juzi juzi hapo nilienda Vodashop kama tatu kila mtu anasema la kwake. Hawa wanasema watanipa router ndogo ya 75,000 na kuniunga Kasi Internet, nikipata 50GB kwa mwezi zinatosha ila kifurushi cha 50,000 wanakupa 30GB na 20GB bonus. Sasa kimbembe ni kuwa hiyo router wengine wanasema ina ofa ya kuanzia ya 50GB na wengine wanasema ishaondolewa. It doesn't make sense ninunue rooter inayotumia mtandao mmoja tu na haina ofa, si ningenunua nyingine hata za 100k ila universal.
Bado kama kwenye website wamesema ina ofa alafu kwenye vituo vyao wanasema haina, basi na hiyo 20GB bonus sio guaranteed. Kwahiyo wanataka ninunue 30GB per month kwa 50,000? HESLB wakisikia hivi watalia

Ukija kwa TTCL hao ndio wabaya zaidi. Wengine wanadai wanatoa 40GB kwa 70,000 alafu router wanaiuza 120,000 kama sijasahau. Speed ndogo najua

Hapa sijui nifanye nini. Nina mambo ya kusoma na kufanyia kazi kibao nikipiga hesabu naona hazisomi
Unga voda unlimited ile unatumia GB zikiisha inakuwa slow, hata kama ni 500kbps na una stream 360p na kuangalia netflix low quality, ina worth it mkuu.
 
Unga voda unlimited ile unatumia GB zikiisha inakuwa slow, hata kama ni 500kbps na una stream 360p na kuangalia netflix low quality, ina worth it mkuu.
Vipi mkuu ni sahihi kununua router ya Voda au niachane nayo nichukue ya madukani mitandao yote
 
Maybe offer imeisha waliandika free installation kwenye site yao. Umewapigia simu?
Yes wanasema ofa ya free installation ipo.

Wamejibu hivi

"we have a promotion to allow our new subscribers to have the installation kit for free
So for the plan of 60,000 Tsh, you have to pay for 11 months in advance to be allowed for the promotion"
 
Yes wanasema ofa ya free installation ipo.

Wamejibu hivi

"we have a promotion to allow our new subscribers to have the installation kit for free
So for the plan of 60,000 Tsh, you have to pay for 11 months in advance to be allowed for the promotion"
Hapo nimeelewa,

Ila ina make sense wakifanya hivyo, wabongo wangechukua dishi na kusepa, mwezi mmoja hauwezi kulipa gharama za Installation.
 
Hapo nimeelewa,

Ila ina make sense wakifanya hivyo, wabongo wangechukua dishi na kusepa, mwezi mmoja hauwezi kulipa gharama za Installation.
Mkuu naomba unifafanulie kuhusu download, upload speed na ping.

Kuna muda nikitest nikapata download ni 7Mbs na upload speed ni 30Mbs kwenye matumizi ya kawaida internet inakuwa slow sana. Ila ikiwa kinyume chake mtandao unakuwa sawa. Nashindwa kuelewa kabisa.
 
Mkuu naomba unifafanulie kuhusu download, upload speed na ping.

Kuna muda nikitest nikapata download ni 7Mbs na upload speed ni 30Mbs kwenye matumizi ya kawaida internet inakuwa slow sana. Ila ikiwa kinyume chake mtandao unakuwa sawa. Nashindwa kuelewa kabisa.

Upload ni kutoa mafile yako toka kwenye computer kwenda kwa mtu mwengine. Mfano unatumia mtu picha, una upload vitu YouTube etc.

Download ni kutoa vitu kwenye internet na server mbalimbali kuja kwenye computer yako.

Ping ni ule muda wa wewe kuomba kitu kwenye server mpaka kuletewa na vice versa.

Unapofanya kitu chochote ambacho sio live kama kudownload movies, kuangalia YouTube, kumrushia mtu video etc ping inakuwa haina maana sana sababu tayari file lipo linaletwa tu.

Ila unapofanya kitu live kama kubrowse, kuangalia mpira, video call etc ping ni muhimu sana, hata kama unadownload na upload speed kubwa.

Chukulia mfano unaangalia mpira live, mpira ndio unachezwa hivyo inabidi kila sekunde kadhaa utumiwe kinachoendelea ili uwe live, hivyo kila sekunde unawasiliana na server, kama ping ni kubwa ndio pale unaona mpira unakwama kwama hapo speed ya Internet ni kubwa.
 
Tunaelekea vifurushi vitakuwa kama anasa.
Ukimuona mtu yupo anaangalia video za YouTube au Netflix mpaka unashituka amewezaje?
Hali ni mbaya, tunakoelekea 1GB tutainunua kwa 10,000.
Badala waongeze vifurushi wanazidi kupunguza halafu bei wanaongeza.
Wanaona tunafaidi sana kuwa na salio la kupiga, meseji na bando la internet.
Nimeamini kuna watu wanavuna hela na wengine wanatafuta.
Ukitaka kudownload au kuupload 30GB uandae 50,000.
Viongozi wengi bado wanafikra za kizamani hawajui dunia inaendaje na inataka watu waishije ili kwenda nayo sawa.
 
Unga voda unlimited ile unatumia GB zikiisha inakuwa slow, hata kama ni 500kbps na una stream 360p na kuangalia netflix low quality, ina worth it mkuu.
Naomba ufafanue kuhusu hichi kifurushi unlimited cha VODA.
 
Naomba ufafanue kuhusu hichi kifurushi unlimited cha VODA.
Unanunua kifurushi cha mwezi 50,000 unatumia GB zikiisha speed inapungua ila unaendelea kutumia Internet.

Vyema uende ofisini kwa mara ya kwanza ama muulize mtu anayetumia akupe maelezo zaidi.
 
Unanunua kifurushi cha mwezi 50,000 unatumia GB zikiisha speed inapungua ila unaendelea kutumia Internet.

Vyema uende ofisini kwa mara ya kwanza ama muulize mtu anayetumia akupe maelezo zaidi.
Tupo pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom