isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Chief hebu badilisha uwasilishaji nikuelewe maana toka nyuma sijakuelewa kwa hii statement!Unanunua kifurushi cha mwezi 50,000 unatumia GB zikiisha speed inapungua ila unaendelea kutumia Internet.
Vyema uende ofisini kwa mara ya kwanza ama muulize mtu anayetumia akupe maelezo zaidi.
Chief hebu badilisha uwasilishaji nikuelewe maana toka nyuma sijakuelewa kwa hii statement!
"Unanunua kifurushi cha mwezi 50,000 unatumia GB zikiisha speed inapungua ila unaendelea kutumia Internet."
GB ?? Speed kwa GB ?? Unaendelea kutumia Internet GB zimeisha! Badili uwasilishaji nikuelewe.
Well nimekuelewa kwa uzuri, shukrani sana.Unanunua kifurushi kwa 50,000 cha gb 37 unatumia GB zako kwa speed kubwa, zikiisha speed ina drop mpaka 500kbps (62KBps) lakini unatumia bila kikomo.
Kwa sasa hiki ndo walau kina make senseUnga voda unlimited ile unatumia GB zikiisha inakuwa slow, hata kama ni 500kbps na una stream 360p na kuangalia netflix low quality, ina worth it mkuu.
Utata utakuja jinsi hizo gb 37 zitakavyoisha, unaweza usiamini kama ni kweli walikupa hicho kiasi cha data.Kwa sasa hiki ndo walau kina make sense
Kwa anaenunua hicho kifurushi anatumia hio unlimited. Nimewahi tumia Royal bundle, kama una stream tu na simu 500kbps si haba, Netflix ina play low quality na YouTube 360p kama una codecs za kisasa.Utata utakuja jinsi hizo gb 37 zitakavyoisha, unaweza usiamini kama ni kweli walikupa hicho kiasi cha data.