Hili jambo la mabehewa liundiwe tume

Hili jambo la mabehewa liundiwe tume

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kiukweli, kwa wale walioishi Ulaya au hata kutembelea tu, watakubaliana na mimi kwamba hoja alizozitoa Kigwangalla na watanzania walio wengi juu ya harufu ya ubadhilifu kwenye ununuzi wa mabehewa ya SGR, inahitaji uchunguzi wa ukweli ufanyike.

Yalinunuliwa shilingi ngapi, zabuni, value for money. Serikali kama itaacha watu wanachezea tu kodi zetu ati kwasababu sasaivi watu wapo huru wanamwagilia tu moyo, kuna siku mazuri yote yatakuja kusahaulika na baya hilo moja tu litachafua kazi yote maza ameifanya.

Hayo wameleta hata matram ya zamani yale ya Ulaya hayafanani nazo kabisa. Tumekuwa dustbin.
 
Aisee! inafikirisha sana,kenya mabehewa ya kisasa bei ndogo,tz bei mlima mabehewa ya 1975s
 
Mtoa hoja hizi tume ni sehemu ya ufisadi hazihitajiki,kama unaona kuna harufu ya Rushwa, nenda police station na fungua docket ili police wafanye uchunguzi na wakijiridhia kuna ufisadi, wafanye arrest na kuwapeleka kwenye court of law, middle class tuache uzuzu wenye uoga, hapo Iran ni msichana mdogo tu aliyeanzisha push back,na sasa serikali imefutilia mbali police wale waliosababisha kisanga kile.
 
Tume nayo itakula hela tena! Utakuwa ni mwendo wa kuliwa tu. Ee Mola tunaomba uiponye Tanzania yetu na viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza, waache ufisadi.
 
Mtoa hoja hizi tume ni sehemu ya ufisadi hazihitajiki,kama unaona kuna harufu ya Rushwa, nenda police station na fungua docket ili police wafanye uchunguzi na wakijiridhia kuna ufisadi, wafanye arrest na kuwapeleka kwenye court of law, middle class tuache uzuzu wenye uoga, hapo Iran ni msichana mdogo tu aliyeanzisha push back,na sasa serikali imefutilia mbali police wale waliosababisha kisanga kile.
Polisi hawa hawa au wapo wengine?? Yaani hawa polisi wetu wafanye uchunguzi kabisa kwa haki??
 
Nimesikitika sana serikali imeenda kununua tren ya mtumba. Halafu tupo uchumi wa kati wa viwanda.
Tusidanganyane Tanzania ni nchi masikini
 
Nilivyoona tu yamefungwa kwenye foili paper au mifuko ya plastic nikajua tumepigwa, ila watanzania tusipoamka tutaendelea kuchezewa na CCM
 
Mtoa hoja hizi tume ni sehemu ya ufisadi hazihitajiki,kama unaona kuna harufu ya Rushwa, nenda police station na fungua docket ili police wafanye uchunguzi na wakijiridhia kuna ufisadi, wafanye arrest na kuwapeleka kwenye court of law, middle class tuache uzuzu wenye uoga, hapo Iran ni msichana mdogo tu aliyeanzisha push back,na sasa serikali imefutilia mbali police wale waliosababisha kisanga kile.
Sio police wa bongo, wanaofanya kazi kwa order za CCM
 
Kiukweli, kwa wale walioishi ulaya au hata kutembelea tu, watakubaliana na mimi kwamba hoja alizozitoa kigwangala na watanzania walio wengi juu ya harufu ya ubadhilifu kwenye ununuzi wa mabehewa ya SGR, inahitaji uchunguzi wa ukweli ufanyike.

Yalinunuliwa shilingi ngapi, zabuni, value for money. Serikali kama itaacha watu wanachezea tu kodi zetu ati kwasababu sasaivi watu wapo huru wanamwagilia tu moyo, kuna siku mazuri yote yatakuja kusahaulika na baya hilo moja tu litachafua kazi yote maza ameifanya.

Hayo wameleta hata matram ya zamani yale ya Ulaya hayafanani nazo kabisa. Tumekuwa dustbin.
Screenshot_20221205_213904.jpg
kama hii ni kweli aisee TZ watu wanapiga pesa kinoma yani mtu anaweka bei zaidi ya mara 5 ya beu halisi
 
Uzuri kwa wenzetu bei ya mabehewa sio siri , unaweza kufanya research yako mwenyewe au kuwasiliana na hiyo kampuni ukajua bei hakisi ya hayo mabehewa, mtu serious afanye research kujua ukweli wa bei halisi ya hayo mabehewa, time kuwalipua wapigaji hata kama serikali ya wapigaji haitaki, ujinga uishe watu wajue ukweli sio kulalamika tuu
 
Tungepata product description za hayo mabehewa (coach passenger train) yaliyoagizwa na TRC, tungeweza kupata bei yake bila matatizo,nimeangalia haraka haraka bei ya mabehewa yanayofanana na niliyoyaona kwenye picha nimeona quote zao zina average 300,000$ FOB, inaonekana TRC wamenunua kwa karibu 1,000,000$, kuna mambo mengi kabla hatujafikia conclusion,lakini kwa haraka haraka inaonekana kuna upigaji mkubwa sana na inawezekana wamenunua mabehewa bei mara 4 au tano, mtu afanye hiyo kazi (investigation) tujue ukweli watanzania tumechoka kuibiwa
 
Tanzania huwa tunatengeneza tatizo halafu tunatengeneza tume iendelee kupiga pesa [emoji28][emoji28][emoji28] na hakuna cha maajabu hizo tume zinafanya

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
G Malisa ndio kaandika hii? Anajitia album tu. Sgr ya Kenya behewa zao za zamani kuliko tulizoletewa tena sio za umeme ni diesel.
Halafu malisa alikuwa na heshima Sana ....kilichonishangaza ni yeye kuweka behewa za TRC ambazo sio za sgr...yaani kaweka picha ya behewa za TRC ambazo sio hizo zilizonunuliwa mradi Tu aendeleze "narrative" ya kupigwa
 
Tume nayo itakula hela tena! Utakuwa ni mwendo wa kuliwa tu. Ee Mola tunaomba uiponye Tanzania yetu na viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza, waache ufisadi.
Mungu asaidie sana, ila mama hana kosa lolote. Mungu ampe uvumilvu tu anavyojitahidi kutafuta hela alafu wanakula wengine.
 
Back
Top Bottom