Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.

Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo, maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama?

Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndio hivyo basi.

Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizama, nasema hiii. Natikisa kichwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
🤣🤣🤣Ww ni Chizi kweli
 
Wewe ndio mwanaume sasa. Inatakiwa ifike wakati ijulikane kuwa kalio la mwanaume ni nyara ya mwanaume hakuna mtu anaweza au mwenye ruhusa ya kuligusa.

Kalio la mwanaume ni siri sirini. Kalio la mwanaume ni nyaraka za siri za usalama wa taifa. Ndio maana mtu yoyote akionyesha tako lake kwa mwanaume mwenzake au mwanamke tayari anakuwa ameuweka uanaume wake rehani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…