Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Wewe ndio mwanaume sasa. Inatakiwa ifike wakati ijulikane kuwa kalio la mwanaume ni nyara ya mwanaume hakuna mtu anaweza au mwenye ruhusa ya kuligusa.

Kalio la mwanaume ni siri sirini. Kalio la mwanaume ni nyaraka za siri za usalama wa taifa. Ndio maana mtu yoyote akionyesha tako lake kwa mwanaume mwenzake au mwanamke tayari anakuwa ameuweka uanaume wake rehani.
Kama uko intact huwezi kuogopa hata kikosi kizima kikuangaliae. Yawezekana huna marinda ndiyo maana uliogopa kwa vile watajua huna bikra
 
Back
Top Bottom