Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Wa
Utani mwingine bwana.

Ile kazi inahitajika kuwa imara haswa.

Kuna siku nimewakuta wenyewe zile lori zao imezimwa wanasukuma kwenye muinuko kidogo.

Sasa kama huko vizuri utajikuta unaporomosha tu vitu huko bila kujizuia.
Vizuri, umegusa moja ya mifano mizuri kuna zaidi ya hayo ambayo lazima physically uwe vizuri. Tatizo humu watu wanaandika kwa kudhihaki majukumu ya watu. Lakini ni vyema kukumbuka lazima watu wagawane majukumu ili Taifa lisogee sasa wote tukiwa wahasibu, walimu, wahandisi n.k hatutakuwa na usalama wa kutimiza hayo majukumu ndiyo maana lazima wengine wajiunge huko kwa jukumu la kuleta utulivu na amani unazani hata nyumba za ibada watu wangeenda? Huwa tunakosea sana.
 
Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.

Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.

Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.

Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
Jilaumu kwa uelewa wako mdogo. Hata ukifanyiwa uchunguzi wa mwili mzima ni vivyo hivyo.
 
Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.

Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.

Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.

Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
Anayekupima ni mwanamke, sasa unaogopa nini?
 
Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.

Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.

Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.

Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
You made my day [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom