Hizo sheria wakoloni walitumia kudhalilisha watu weusi bado tumekumbatia hata bado hatujielewiAsee tena inabidi ukohoe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa anachek process nzima ya unyumbulikaji wa marinda,,, jamaa anamulika tu,,, hizo kazi nyingine vigezo balaa