Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Hili jambo lilinifanya nikatae kujiunga na Jeshi. Niliona ni udhalilishaji

Inawezekana chanzo chanushoga wao ni kuingizwa vidole wakati wa kupimwa jeshini 😂
Hapana sijawahi shuhudia mtu akishikwa hilo eneo. Ninachojua ni madaktari huwa na uelewa wao ni nani aliye na tatizo baada ya zoezi fulani ila hayahusiani na kuingiza kidole.
 
Hivi utaratibu huu majeshini unatumika kwa wanaume tu, au na wanawake pia?
Pengine kazi kweli umepata, lakini kila ukikutana na yulee! aliyekupiga tochi lazima ukumbuke mchakato mzima asee!!
Hii hapana! Nooo!
 
IMG_1707.jpg

Tuambie ukweli,nini kilikufanya ukatae kupimwa nanii??

Wajeda---kama bado imo inama tuione.

Chiz maarifa-----hapana mnataka kunidhalilisha

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Na hautakiwi unyoe yale makata kinyesi yaliyozunguka kimulimuli ole wako, utaeleza ni nani aliyekunyoa.
He ninyi mnanyoa ili iweje? Mnanyoa vipi? Huku mbele hasa zile zinazozunguka mbupu ni shida kuinama kyzinyoa ndio sababu zinaachwa. Wengine hatujui kama huko uvunguni kuna nywele.
 
Ndo maana tulisoma PAI 22/7 au 3.14 kutafuta mzingo wa duara lenye kipenyo kizima au nusu kipenyo.....
Sir major anapima kwa kutumia mti wa muanzi kujua radius kama inatumika kutoa mbolea tu au inatumika kuingiza kitu ndani so marinda yataonekana tu
 
He ninyi mnanyoa ili iweje? Mnanyoa vipi? Huku mbele hasa zile zinazozunguka mbupu ni shida kuinama kyzinyoa ndio sababu zinaachwa. Wengine hatujui kama huko uvunguni kuna nywele.

Kwani huchambagi wee ukienda kusubara??
 
Back
Top Bottom