6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,117
Nawasalimu kwa JMT
Katika mizunguko ya duniani nikichomwa n jua maeneo ya magomeni mwembechai, nikiwa dukani alikuja rafiki yangu niliyesoma nae O'level akiwa na mwanamke wa umri kidogo kuliko yeye, niliwahudumia vitu vya jumla kama 100k+.
Basi tukabadilisha mawasiliano, akaniambia yeye anaduka la iphone makumbusho. Tukawa tunawasiliana pia nilifanikiwa kufika kwenye hilo duka. Tulikaa pale kama saa 1 n ushee, kulikuwa n vijana 3 n mabinti 2 ukijumlisha na sisi wa 2 tulikuwa 7. Kwa nilivyoona hapakuwa n mteja na mabox yaliopangwa sikuona lenye simu hata moja.
Miez ikapita kadhaa, jamaa akaja dukani tukapiga story sana, akaniambia mzigo wake umekwama bandari hivyo hela imepelea kama 200k, kwa kuwa ni mwana nilifika alipodai ni duka lake, nikamwambia nitakukopesha 150k ndio ipo ya chap. Kilichofata ni kalenda, chenga kwa wingi hadi leo hii ni mwezi wa pili hela hajaleta, nilifika dukani washkaji wakaniambia ukweli maana nilienda na barua ya wito kutoka polisi.
Hiki ndio walichoniambia "Wote unaotuona hapa +huyo unaemdai wote ni mawinga" Nikauliza winga ni nani? Nikaambiwa ni madalali.
Kwa roho moja niliamua kusamehe.
Kama umewahi kukutana na maksa kama huu njoo tujikumbushie.
Katika mizunguko ya duniani nikichomwa n jua maeneo ya magomeni mwembechai, nikiwa dukani alikuja rafiki yangu niliyesoma nae O'level akiwa na mwanamke wa umri kidogo kuliko yeye, niliwahudumia vitu vya jumla kama 100k+.
Basi tukabadilisha mawasiliano, akaniambia yeye anaduka la iphone makumbusho. Tukawa tunawasiliana pia nilifanikiwa kufika kwenye hilo duka. Tulikaa pale kama saa 1 n ushee, kulikuwa n vijana 3 n mabinti 2 ukijumlisha na sisi wa 2 tulikuwa 7. Kwa nilivyoona hapakuwa n mteja na mabox yaliopangwa sikuona lenye simu hata moja.
Miez ikapita kadhaa, jamaa akaja dukani tukapiga story sana, akaniambia mzigo wake umekwama bandari hivyo hela imepelea kama 200k, kwa kuwa ni mwana nilifika alipodai ni duka lake, nikamwambia nitakukopesha 150k ndio ipo ya chap. Kilichofata ni kalenda, chenga kwa wingi hadi leo hii ni mwezi wa pili hela hajaleta, nilifika dukani washkaji wakaniambia ukweli maana nilienda na barua ya wito kutoka polisi.
Hiki ndio walichoniambia "Wote unaotuona hapa +huyo unaemdai wote ni mawinga" Nikauliza winga ni nani? Nikaambiwa ni madalali.
Kwa roho moja niliamua kusamehe.
Kama umewahi kukutana na maksa kama huu njoo tujikumbushie.