mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Alilipa huyo mama ila gari alikuwa anaendesha huyo Winga, Gari ilikuwa toyota wish, ila siku aliyokuja had nikamtumia 150k alikuja na bmw
maana yake mpaka magari anazuia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alilipa huyo mama ila gari alikuwa anaendesha huyo Winga, Gari ilikuwa toyota wish, ila siku aliyokuja had nikamtumia 150k alikuja na bmw
Hapo sina uhakika mkuu[emoji23][emoji23]maana yake mpaka magari anazuia.
Na duka halikuwa na simu bali palikuwepo na mabox ya simu yamepangwa. Na hakuona mteja anayeingia!Dalali kwenye duka la simu anafanya nini tena.
Binafsi hakuna kitu kinanikera kama maduka ya simu kariakoo... Frem moja kuna wauzaji saba mpaka nane wa simu. Nilishawahi kughairi kumnunulia dogo simu baada ya kukosa duka lenye muuzaj mmoja au wawili tuduka la simu wauzaji 5 wanafanya nini!!!hii ndio inafanya mtu unataka kutoa milioni yako unapata wasi wasi.
ni ujinga ujinga tu, simu una nunua 3million, Halafu unadaiwa Songesha, Nipige tafu, na tubado twa 500.Hivi kuna nini kwenye iphone
Wale jamaa wa makumbusho wanashangaza sana unakuta dukan wapo wa 4 au had 6 na nasistaduu wakali nini..Na duka halikuwa na simu bali palikuwepo na mabox ya simu yamepangwa. Na hakuona mteja anayeingia!
Sent using Jamii Forums mobile app