Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
We endelea tu kugawa mama huruma wewe..Gawa mpaka mpaka hizo figo zako mbili za kukaliaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
La kukutangaza wewe kuwa uache umbeya utasutwaLipia tangazo
Bado nafikiria ombi lakoUlishanikubalia
Hunaga lafudhi nzuri kwaniniWe endelea tu kugawa mama huruma wewe..Gawa mpaka mpaka hizo figo zako mbili za kukalia
Ulikubali umri ulikuwa hujaruhusu utanisumbuaBado nafikiria ombi lako
WEwe na hiyo lafudhi yako nzuri bado unalia lia hujaolewa sasa kuna faida gani..Hunaga lafudhi nzuri kwanini
Da maua mbavu zinaniuma ujue πππNahamu nikufungulie siri zangu ili unielewe wanaume wanatumia wanawake kupatia utajiri namimi ni muhanga nikawaza what nisingetoa utamu leo kofuli lingekuwepo na maisha ningekuwa nayo.
Una ID ngapi π€Da maua mbavu zinaniuma ujue πππ
Wee bado mtamu tu mauaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
Usijali babe gurlNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
NitakutafutaHupatikani whatsap siku izi
Jamani wewe ππMmmh...! Labda kwa mwingine.
We unazijua ngapi?Una ID ngapi π€
ππππ whaaaatttt???Kwani k yako inawasha kila mara?
Kheee..!!! Pole sana..!! Sema nini, hata bikra kumjua nako ni shida. Na hapo ndo anapojikombea, maana hajulikana, na wala hana alama hadi anyanduliwe ndo anajulikana kwamba alikuwa bikra.Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.