Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kila siku nakwambia tulia nikumiliki hutaki, ona sasaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Nabii π€£π€£π€£π€£ mi sitaki mama mchungaji wa mchongoKila siku nakwambia tulia nikumiliki hutaki, ona sasa
Naam, mimi ndo - Mr jobless pro max ndo moWe jobless
Fungua pm wewe tuyajenge,, mie sio kama hao wengineNabii π€£π€£π€£π€£ mi sitaki mama mchungaji wa mchongo
Hiyo picha yangu umeitoa wapiNaam, mimi ndo - Mr jobless pro max ndo mo
Usimuombe Mungu, bali punguza kuitembeza k.Namuomba Mungu stress za mapenzi zisinifikishe level hii....β
K kuitembeza ni lazima!! Nawezaje kwenda kwenye mizunguko mwili wote uondoke halafu k Ibaki peke yake nyumbani?Usimuombe Mungu, bali punguza kuitembeza k.
We ni yupi kati ya haoπ€Hiyo picha yangu umeitoa wapi
Chizi weweWe ni yupi kati ya haoπ€
Eleza ueleweke, maana wote Wana nyweleChizi wewe
Nilimaanisha punguza "kuichakatisha" k. Yaani k isichakatwe mpk ndoa.K kuitembeza ni lazima!! Nawezaje kwenda kwenye mizunguko mwili wote uondoke halafu k Ibaki peke yake nyumbani?
Teh teh teh teh dunia hii ina viumbe aise! Nimecheka mpaka basi.Kwan k imetanuka sana?
Ili zisikufikishe huku. Chagua kaburi lako mapema acha kuwa na machuguzi tofauti tofautiNamuomba Mungu stress za mapenzi zisinifikishe level hii....β
Huyu anahitaji ndoa. Fuatilia thread zakeOkay,, Kwani wewe saizi mahusiano yako unataka yawe ya namna gani?, Yani unahitaji Nini kwenye hayo mahusiano
Eee bwana eeesawa endelea kukitembeza from shangarai to duka bovu
fyoko fyoko
Sio mwnaume ni mwanamke na nishajifanyia Yangu amini ninachokuambiaNi mwanaume huyu mkuu π
Bff mbona hujaniita lkn?? ππππππIla da maua π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyo,ametumika sana! Sana tu? Sana sana? Dah!!!Kilomita za dada maua zimesoma sana mpaka anatamani siku zirudi nyuma π
ππππππππKwan k imetanuka sana?