Hili jambo linanigharimu sana

Hili jambo linanigharimu sana

Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.

Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Maadamu u mzima, nafasi nyingine ipo ya kurekebisha na kutengeneza na Mungu wako. Mungu ni mwema na anarehemu kwa maana kama angelijesabu makosa yetu, hakuna ambaye angeweza kusimama mbele zako.

Yesu anakupenda sana naye anajua upitiayo. Ni wakati wako sasa kumtafuta na kumuendea kwa Moyo wote naue atakurehemu na atakupa hitaji la Moyo wako.

Neema ya Mungu imefunulowa kwa watu wote, hata kwako dada yangu. Njoo kwa Yesu leo.
 
Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.

Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Tulia panga mipango yako vizuri unaweza kuolewa na mzungu. Mlio shindikana ndo mna kismati cha wazungu. Sijawahi kuona mswahili geti kali kaolewa na mzungu
 
Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.

Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Ukiendelea kujielewa hivi muda sio mrefu utafutwa machozi Kwa kumpata !

Huwa nawaambia baadhi ya madem kwamba mume wako ulishampata siku nyingi sana SEMA ndio hivyo ulimkataa kisa Hana kitu kabisa au ulikua na mtu mwenye hela ukamkataa anaetaka kukuoa!!

Tubu kwanza Mungu akusamehe dhambi ya kumkataa aliekupa kabla hajakupa chaguo la pili!!
 

Attachments

  • JamiiForums-1714439195.jpg
    JamiiForums-1714439195.jpg
    11.3 KB · Views: 8
Back
Top Bottom