Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Dah alifaidi sana huyo mzee, bila shaka ulimpeleka mdogo mdogo mana ungeweza kumuuaSijawahi kumpa mtu humu zaidi ya kizee kimoja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah alifaidi sana huyo mzee, bila shaka ulimpeleka mdogo mdogo mana ungeweza kumuuaSijawahi kumpa mtu humu zaidi ya kizee kimoja tu
lee huyu binti ana matatizo ya afya ya akili na si vinginevyoOkay,, Kwani wewe saizi mahusiano yako unataka yawe ya namna gani?, Yani unahitaji Nini kwenye hayo mahusiano
Ulizani mie nimekuja kuliwa kama ugali wa samaki aku tulipeana vya kupeana akaendaDah alifaidi sana huyo mzee, bila shaka ulimpeleka mdogo mdogo mana ungeweza kumuua
Naona ashapoteana😃Rekebisha majira mkuu..🤣
Lengo ni maokoto, pasta anajikusanyia sadaka zake anapita hivi.Utakuta pasta ni graduate wa yudom, anaspika yake wiki nzima yupo mtaa waa Congo anahubir jpili anaenda kuwapiga kamba waumini.... waumini wanakuja kuja server za jf
Ndo uwaambie na wenzako kuwa mkome umalaya.Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Hilo nalo ni la kuuliza mzee, unashindwa hata kujiongeza?Kwan k imetanuka sana?
Umalaya ni zamani sitaki shetani na kazi zake sana sana uzinziNdo uwaambie na wenzako kuwa mkome umalaya.
Mimi najua ninachokitakaKwani ni mnajuaga manataka nini 😎
Acha kunichoraIlikuaje kwani?
Ni kitu gani ?Mimi najua ninachokitaka
Idadi sidhani kama atakumbukaWashabutua wangapi so far!!
Mpaka imefikia hatua unajiogopa?!!!!
Sijui chn kutakuw na hali gani!!!
😃😃lee huyu binti ana matatizo ya afya ya akili na si vinginevyo
🤣 mwenye uwezo wa kukuzalisha ?Mimi nataka business partner tu, na mwenye uwezo wa kunizalisha basi... Hayo mengine yote yako overated ( am kidding 😅😅)
Unamtetea.
Kwani leo unaongea ukiwa umepanda juu ya meza au uko poa🤪Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Ujinga wa wengi mda mwngn ni mtajiLengo ni maokoto, pasta anajikusanyia sadaka zake anapita hivi.
😂😂😂🤣 mwenye uwezo wa kukuzalisha ?
Umeongea kwa hisia Sana! Lakini ndyo ukweli.Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .